Mkuu umechanganya mada. Kikao hakijaazimia kuzuia wanaume wasichepuke. Kimezuia wanaume kuchepuka na wake za watu. Hata hivyo, ukifulia ndoa ndio itakuwa ngumu kupita maelezo.
Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.