Nakushauri utafute biashara nyingine kwa mtaji huu ukijitumbukiza baada ya miezi mitatu utapata pressure
Ni uzoefu wa matikiti kwa kigamboni kwa misimu mitatu ila nimeachana nayo sasa maana ....
Wengi waliochangia wamechangia waadhirika na sasa serikali inajigeuza na kusema pesa za kujenga miundo mbinu ya serikali
OFISI ya Taifa ya Takwimu imechangia Sh milioni 1.6 kusaidia waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea
mkoan source :
TIBA wachangia Sh20milioni kwa waathirika wa tetemeko...
Hii taarifa ya Channel 10 Haina ukweli wowote kama RC wa kagera ameongea haya basi huu NI UTAPELI WA SERIKALI KWA WANAKAGERA MASHIRIKA YOTE YALIYOTOA MISAADA HAYAJASEMA YAMECHANGIA SERIKALI BALI NI WANANCHI SOMA HAPA CHINI MICHANGO YA DIPLOMATS ISIPOKUWA UINGEREZA PEKEE NDIO MCHANGO WAKE WA...
The student with Index number 'S2142.0037.2014' did not secure a higher education loan for 2015/16 academic year in the FIRST & SECOND LOTS of allocations.
Name
:
SONG'HANYA, PETER
Index Number
:
S4630.0031.2012
Institution
:
SAUT
Course
:
BAED
Year of Study
:
1
Loan Breakdown
Meals and Accommodation (MA)
2,099,500
Books And Stationary (BS)
200,000
Field Practical and Trainings (FPT)
620,000
Tuition Fee
980,000
Research
0...
Mzee Mwanakijiji na siasa zako za Dr.W.Slaa hazitasadia chochote
hata wasema Lowasa ana Uk.mwi watu wamempenda wanachagua
SIASA ZAKO NI KAMA ZA MTU ALIYEVUTA BANGI
NA UKIENDELEA KUMTABILIA AU KUMSEMEA UGONJWA LOWASA WEWE NDIO UTATANGULIA MBELE YA HAKI
Mzee Mwanakijiji siku hizi thread zako...
Mzee Mwanakijiji
Ngoja nikwambi UKWELI operation zako za zinduka hazisadii kitu hata kidogo Watanzania wameishaamua.
CCM walifikiri wakikutumia wewe na Dr.W.Slaa Watanzania watabadilika, kamwe Watanzania hawatabadilika.
Nguvu zako zinakufa bure
UPDATE: Katika taarifa ya TBC iliyosomwa saa 7 mchana leo, Jaji Lewis Makame ametamka kuwa NEC pekee ndiyo yenye kauli ya mwisho kuhusu muda ulioruhusiwa kwa shughuli za kampeni. Muda huo haujabadilika na utaendelea kubakia kuwa saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni, na si vinginevyo.
Kazi ya...
Sasa hivi ni saa 12.01 lakini Dr Pombe bado anaendelea kuongea sasa POLICE KWANINI HAWAKAMATI HUYU POMBE?
UPDATE FROM 2010: Katika taarifa ya TBC iliyosomwa saa 7 mchana leo, Jaji Lewis Makame ametamka kuwa NEC pekee ndiyo yenye kauli ya mwisho kuhusu muda ulioruhusiwa kwa shughuli za...
mkuu akilikubwa naomba uweke hii picha hapo juu
CCM WAKIANDAMANA KUELEKEA KWENYE MKUTANO SAWA LAKINI POLICE WANASEMA WAPINZANI WASIANDAMANE
SHAME YOU POLICE AND KOVA KENGEZA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.