Viwanja vinauzwa, vipo Kibaha picha ya ndege, vimepimwa na miundombinu ya barabara, umeme upo. Vina offer. Vipo karibu na hospitali ya halmashauri ya mji Kibaha, pia shamba linauzwa lipo Kisarawe lina hekta moja na nusu. Kwa maelezo zaidi cont 0713 95 92 90
Viwanja vinauzwa Kibaha mji maeneo ya Lulanzi na msongola Mlandizi, vimepimwa na vina miundombinu ya barabara, umeme na maji ipo.
Vina ukubwa kuanzia sqm 1340 na kuendelea, vipo karibu na hospitali ya mji Kibaha, Lulanzi na pia ni karibu sana na shule ya secondary ya picha ya Ndege na pia siyo...
Mkuu haukufuta taratibu sahihi za kununua kiwanja .viwanja hiv vimepimwa na kuna document zote .ulitakiwa kuhakiki uhalali wa eneo hilo kabla haujanunua .matapeli wapo kila corner Tz nzima .watu wengi uwa wanakosea kufuata taratibu sahihi za manunuzi .ulitakiwa kuhakiki kwanza kwenye serikali...
Kaka oa yule aliye rafik yako .na ambaye unamuelewa vzr na umemfahamu vya kutosha .maana kosea kujenga nyumba cyo kuoa mkuu.uo yule unayemjua vzr tabia zake na ambaye unafurahi Naye ukiwa naye .uskurupuke ukajuta kuzaliwa maana hao wavaa sket wapo vzr kwa kutengeneza bongo movie
Kiwanja ngan kiongoz??cna mm kiwanja cha 25x25 .na bei inauzwa kwa sqm.na hiyo 25x25 umetumia kipimo ngan ??ni sentimeter au feet au meter ?? Au km mkuu??
Vinauza viwanja kibaha Town .vimepimwa na vipo karibu na hospital mpya halmashauri ya mji Kibaha.mtaa wa Lulanzi .na cyo mbali sn toka stendi mpya ya mabus ya mwendokas Kibaha au stendi ya mabus ya mikoani.
Vina miundo mbinu ya barabara,umeme upo karibu na maji yapo karibu..mazungumzo yapo kwa...
Viwanja vinauzwa Kibaha picha ya ndege .vipo kwenye location nzuri sn .vina miundo mbinu ya barabara vyote na vipo karibu na hospital ya halmashauri ya mji kibaha Lulanzi.na pia vipo karibu ya shule ya secondary ya kata picha ya ndege .maji na umeme vipo karibu .ukubwa ni mita 20 kwa mita 20...
Nyumban inapangishwa Mbezi Lous ina vyumba viwili .kimoja master room ,living room na sitting room.ina get na ukuta.maji yapo .ni sehemu turivu ni cyo mbali kutoka stendi ya mabus mbezi .njia ya kwenda Goba.stendi inaitwa Njia panda ya Goba na makabe.kwa masiliano 0713 95 92 90
Vyumba vinapangishwa vipo mbezi mwisho.njia ya kwenda mbezi-Tangi bovu ,chumba na sitting room.vipo ndan ya get,vyoo vyake pekee yake .kuna parking ya gari ,ni sehemu tulivu sn.sh 100,000 kwa mwezi .cont 0713 95 92 90
Viwanja vinauzwa Lulonzi kwa Islam .Kibaha Town .1 km toka kituo kipya cha Maili Moja (Loliondo stend ,soko jipya Maili Moja) vimepimwa na miundombinu ipo .8000Tsh kwa sqm.kwa taarifa zaidi cont whatsaap 0713 95 92 90
Viwanja vinauzwa Lulonzi kwa Islam .Kibaha Town .1 km toka kituo kipya cha Maili Moja (Loliondo stend ,soko jipya Maili Moja) vimepimwa na miundombinu ipo .8000Tsh kwa sqm.kwa taarifa zaidi cont whatsaap 0713 95 92 90
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.