Ngara hamkunyang'anywa!?..hamkunyang'anywa ardhi yoyote iliyopo Tanzania!?..mbona hoja ya m23 si hiyo kwamba ardhi walinyang'anywa Bali wao ni wacongo,wajumuishwe jeshini!!?
"Kutoka 21:10 Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi." Kutoka 21:10 Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe...
Hapa umethibitisha tu kwamba vikosi vimeondoka Gaza,watu wakidundwa na kurudi nyuma vitani huwa hawakosi kauli za face saving,'tunarudi kimkakati' nk, Israel inaona haya kuondoka Gaza bila kufikia malengo,Ila wanaowapa kiburi wamewataka kuondoka
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ الَّذِينَ كَفَرُوا وَصَدُّوا عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ أَضَلَّ أَعْمَالَهُمْ
Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao.
Ungeanza na 47:1 ili kupata context nzima,siyo una cherry-pick,umeokota mtandaoni Aya na...
"Saudi Arabia has over 2 million Christians but no single church! | Pulse Nigeria" This country has over 2 million Christians but no single church!
Muislam anaeujua uislam hawezi kubadili dini na kuwa mkiristo,Mara mia awe myahudi
Halafu hiyo Saudi Arabia Yako yenye wakiristo 6m ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.