kwa nchi yenye watu zaid ya milion 45 si rahis kumlizisha kila mtu hasa pale panapokuwepo kambi ya upinzan, wewe nadhan ulikuwa timu mamvi sasa unatapatapa pole ila utaelewa
usihangaike sana na huyo mtoa mada mana ameasilika na upinzan na wala hajui msingi wa chama hata kimoja cha upinzan yeye anachojua ni ukawa ndio mana akatumia sentesi "kauli kama hizo zingepaswa kutolewa ni wapinzani" pasipo kujua wamesema ccm kama chama kumuunga mkono rais kupitia ccm
kinachokusumbua ni ukosefu wa elimu ya msingi na kujikita na kambi ya upinzan hivyo hata akili ya kufikili huna umetawaliwa na upinzan. Kuelimishwa ni gharama usizan burebure tu kama mnavyoshadadia elimu ya bure
na wewe bado mtoto. una elimu gani JPM HANA CHAMA??? ! nakumbuka wakati wa kampen kuna mtu alisema UKAWA ITABADILIKA NA KUWA UKIWA NIMEAMINI mana naona mnatafuta pa kushika hamna matumain faraja yenu ni kujisifuu na yale anayofanya Rais ambaye mlikuwa hammtaki mkidai nyie ndio mmesababisha...
Ww ni kichaa kweli porojo zote izo kumbe unaomba nafasi ya uwaziri tumia akili unawezaje kuchagua waziri mpinzan achen kuwa ombaomba mmeshapigwa chini kwenye urais kuwen wapole miaka 5 ipite
Serikali ya ukawa ingeweza? Sasa mbona haijaweza tumia akili. Hlf usifikil rais jpm atafanya kazi kwa presha zenu za kukomoa eti tuone kama ataweza? Kwa ufupi thread yako uliyoitoa inanipa wasi na uwezo wako wa kufikir inaonekana umesoma lkn unapepo la upinzan limekuingia hivyo you can not see...
Hawasusiagi mapema kiasi hichi huwa ni mpaka wahakikishe wamerudisha pesa zao za kampen na faida ya kutosha kwa maposho ya bunge baada ya hapo ndio wanaanza kutuzuga ili tupotee maboya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.