Search results

  1. IoT

    SoC01 Dunia inakwenda kasi, tusibaki nyuma

    Maisha yetu huwa na thamani pale tunapoona uwezo wetu wa kutatua changamoto ni mkubwa. Maisha yetu hukosa thamani pale tunapojihisi hatuna kile kinachoweza kuongeza thamani katika maisha yetu. Uwezo wa kutatua changamoto katika maisha hujengwa ili kutoa matokeo kusudiwa. Leo katika Story of...
  2. IoT

    Either Katiba Mpya au Maandamano Kwa Mwezi Mmoja

    Leo hii Report ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali 2019/2020 imewasilishwa Bungeni. Kinachoshika headline kwa sasa ni juu ya ubadhirifu/ufisadi, pamoja na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi. Tukiangazia kwa mapana, tutagundua kuwa hata report za ukaguzi kwa miaka ya nyuma zimekuwa zikifunua...
  3. IoT

    Jibu la "kunionaje" pale unapoomba kuonana na Mwanadada

    Mitandao ya kijamii imekuwa ni sehemu ya kufahamiana na watu, kubadilishana mawazo, kupashana habari, kuuza bidhaa nk. Linapokuja suala la mwanaume kuomba kuonana na mwanadada, kumekuwa na hii sijui nini maana'ke. Unaomba kuonana na mwanadada, mdada anauliza "kunionaje". Swali langu ni hili...
  4. IoT

    Ujio wa Lissu na siri katika namba

    Kumekuwepo na nadharia (conspiracy theories) kuhusu namba kwenye Muda (Mwezi, Siku na Saa) kubeba siri nyingi za matukio mbalimbali yanayotokea dunia. Matukio yanaweza kuwa ni vifo nk. Je, ni kweli kuna siri katika namba au fikra zetu tu katika kujenga taswira kuhusu matukio? Lissu...
  5. IoT

    Chimbo la mabegi

    Naomba kufahamu anayejua chimbo za mabegi kwa Dar, pure leather travel bag za mtumba.
  6. IoT

    Kuongeza hamu ya kula

    Naombeni kufahamu vitu gani naweza kutumia kuongeza hamu ya kula, hatimaye kuongeza uzito.
  7. IoT

    Msaada: Msaada kuibiwa simu

    Siku kadhaa zilizopita niliibiwa simu yangu, na nilichofanya ni kufata taratibu zote za kipolisi kama kufungua kesi. Kwa sasa file la kesi liko kwa mpelelezi na akanambia atakachofanya ni kuandika barua kwenda kwenye mitandao (Tigo, voda, nk), halafu wao watarudisha majibu kwamba IMEI ya simu...
  8. IoT

    Computer4Sale Lenovo ideapad 110

    Used laptop inauzwa, imetumika miezi michache na ina tatizo kwenye kioo. Kioo kilipata hitilafu, kitu cha ncha kali kiligonga. Napatikana Dar, mawasiliano WhatsApp
  9. IoT

    Mashine ndogo ya kunyolea ndevu, inatumia battery

    Karibu
  10. IoT

    Kama unapata shida kupata ujazito, hizi zinaweza kuwa ni sababu.

    Kwa mwanamke anayeshindwa kupata ujazito, hizi sababu tano zinachangia. Ni vizuri kujitahidi kuziepuka Baadhi ya sababu za mwanamke kukokosa ujazito
  11. IoT

    Mazoezi ya Kegel katika kuimarisha misuli ya uume.

    Ukiweza kufanikisha mazoezi haya, baada ya muda mfupi itakupa uwezo mzuri kitandani. KEGEL EXERCISE
  12. IoT

    Msaada: Display ya Computer yangu imevujia wino

    Laptop yangu ina tatizo kwenye display, sijajua nini hasa kimesabisha maana jamaa yangu niliyempa anadai kuna kitu chenye ncha kiligonga display. Mwanzo nilihisi ni crack kutokana na alivyodai, lakini naona siyo crack baada ya kuikagua. Sijajua ndani ya display ni nini, maana kama wino...
  13. IoT

    Hii na imani za kishirikina

    Juzi nilikwenda kwa fundi wa nguo kuchukua nguo zangu nilizompa kunishonea... Wakatika nasubiri zoezi zima la kunishonea likamilike, tukawa tunapiga soga moja mbili tatu. Akagusia jambo ambalo limefanya niandike uzi huu, ili kujiridhisha zaidi "curiosity" kuwa hii imekaaje. Akanieleza kuhusu...
  14. IoT

    Wapi naweza pata mafundi wazuri kufanya replacement ya kioo cha simu

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, simu yangu "S7 edge" imedondoka na kioo cha mbele kime_crack. Naomba kufahamu kwa Dar wapi kuna mafundi wazuri wakufanya replacement. Natanguliza shukrani. Pia kuna video hiyo nimeona YouTube ikanivutia... URL]
  15. IoT

    Samsung Galaxy A5

    Mwenye kujua bei ya simu tajwa hapo, anijuze..
Back
Top Bottom