✳️JE ULINZI SHIRIKISHI NI BIASHARA HARAMU!?
🔜JE, NI NANI MWAJIRI WA HAWA POLISI JAMII, NA JE WAPO KISHERIA NA MAFUNZO YAO WAMEYATOA WAPI!?
🔜KWANINI WANANCHI TULIPIE ULINZI SHIRIKISHI WAKATI TUNALIPA KODI!?
🔜NA IKIWA TUNALIPIA, JE POLISI JAMII WATAWAJIBIKA KUTULIPA FIDIA IKIWA WAMESHINDWA...
Ni ukweli usiopingika hali ya maisha ya watu yamebadilika na imezidi kuwa mbaya zaidi, hali ya uchumi imeporoka sana wala hakuna pa kupumulia, na ni kweli vitu vimepanda bei kuliko mwanzo na Zaidi ya yote wananchi tumetwishwa Msalaba mkubwa wa Kulipia kodi kila huduma tunayoifanya hasa katika...
NI UJINGA TU NA UKOSEFU WA MAARIFA NDIO UNAWASUMBUA WAAFRIKA NA WATANZANIA KUHUSU CHANJO YA COVID 19
Na: Shujaa
Ujue kinachofanya Africa kuwa bara maskini tofauti na mengine ya wazungu na Tanzania kuwa miongoni mwa Nchi maskini duniani pamoja na utajiri na rasilimali nyingi walizo nazo Sio...
🆕SIRI KIJASUSI ILIYOFICHIKA NYUMA YA SUMAYE NA LOWASA KURUDI TENA CCM
🔵Na: Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)
Watu wengi kwa kutokuelewa kilichopo nyuma haya hayo yote wanaweza kutoa sababu zao ambazo kwa juu juu zinaakisi ukweli kutokana na hali ya nchi inavyoendeshwa sasa kutokana na...
KAULI ZA KIPUUZI ZA VIONGOZI WA KISIASA DHIDI YA VYOMBO ZA DINI ZINAPASWA ZIPINGWE VIKALI
Na: Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)
Kwa muda mrefu sasa imeanza kuzoeleka na kuonekana ni desturi kwa viongozi wa kisiasa hasa hawa Ma-DC na RC(Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa) kutoa...
BREAKING NEWS: ASKOFU KAKOBE AWAONYA HAWA
MITUME NA MANABII KUACHA KUJENGA
KANISA KWA MSINGI WA MAOMBEZI
Na mwandishi :Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)
Mapema katika ibada ya Jumapili iliyopita ya tarehe 7/10/2018 katika...
NAOMBA KUULIZA KUHUSU UMEME WA MSONGO WA KV 132 ULIOKUWA UMEPITISHWA PALE UBONGO TO MAKUMBUSHO?
Nilikuwa Nimeambiwa Ule mradi wa Umeme wa Msongo wa KV 132 uliokuwa unaanzia Ubungo to makumbusho Unafanya Kazi na unaendelea kupitisha umeme kama kawaida, ambao ulianzishwa na Serikali ya Jakaya...
✳UHUSIANO WA JUBILEE YA MIAKA 70 YA ISRAEL NA KURUDI KWA YESU KULINYAKUA KANISA✳
*Na: Shujaa Charles Mwaisemba*
_▶SHEREHE YA MIAKA 70(JUBEILEE) YA TAIFA LA ISRAEL_
_▶UFUNGUZI WA UBALOZI WA MAREKANI HUKO JERUSALEM_
_▶MAANDAMANO YA WAPALESTINA...
YAH: KUKATA RUFAA JUU YA UAMUZI WA CHASO ARU KUNIFUKUZA UANACHAMA
Kichwa cha barua hapo juu chahusika.
Mimi naitwa Simon Rogasian Chrispini mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu ARDHI nasoma shahada ya mipango miji na viji.
Nakata rufaa hii Kwa sababu ya uamuzi uliofanywa na Kamati Tendaji ya...
BORA NISIPIGE KURA,CHAGUO LANGU NI DR SLAA,LOWASSA PANDIKIZI WA CCM
Kumetokea Umati pia wa watu ambao wamepanga kutokupiga kura kabisa eti kwa kuwa DR SLAA ndie alikuwa chaguo lao na kuona LOWASSA ni Pandikizi la ccm ndani ya UKAWA.Ingawa bado wanaichukia CCM hivyo wameamua Sio tu kuhama UKAWA...
Hivyo katika kipindi hichi cha uchaguzi wa Rais,wabunge na madiwani,hatunabudi kufanya mambo yafuatayo ili kuweza Kumpata kiongozi bora tunayemtaka:-
1)Katika daftari la kupiga kura,Serikali wanatakiwa watoe elimu ya uraia wananchi wajue umuhumu wa kupiga kura na ni haki yao kikatiba
2)Tume...
JE DR SLAA NA LIPUMBA KWELI WALIKUWA WANA UCHUNGU NA NCHI AU WANANCHI?
Kama kweli wana uchungu kwanini waondoke na wakate tamaa na kuachana kabisa kujihusisha na mambo ya kisiasa yanayowahusu wananchi wao kwa makosa au unafki wanaouona wamefanyiwa na Vyama vyao?
Shujaa huwa hakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.