Mie napenda mume smart lakini sio wa aina hiyo apo juu hapo ni too much,ukimpata wa aina hiyo akili yako itahamia kwake
utakua huna Uhuru wakufukiria vitu na kunipa fursa na mimi nifanye, huyo apo juu hata nyumba anaweza kujenga mwenye kama anafanya yote hao,sijui nimapenzi au ubahili au sijui...
Mie mambo ya kufungana apana aende akinikuta sawa hakunikuta haikua rizki yake miaka mitatu halafu mwenzio akija anaanza kukukwepa mara unasikia oooh nimeambiwa na Baba Chambuli wewe ulikua hutulii kila mara unashushwa na gari usiku na yule mtoto wa kigogo mara oooooh wazazi wamenichagulia...
Ivi mkuu ni bora akatae yaishe au akubali halafu yamkute ya kumkuta au awatie aibu ya kufumaniwa na mwanamme mwengine na wewe uletewe kesi ya aibu kama hiyo ukiwa kama sijui ndio kaka kama unavyosema? hakuna asie penda pesa wala maisha mazuri na huenda mdogo wako anakataa kwa sababu maalum...
Bwana weye unataka kutia watu dhambi sasa,ivi kweli hujuinini chakufanya kweli mpaka ukahakikisha au huyo alokwambia hawezi kukusaidia mbinu kama anakupenda kweli.... Angalia sana sio kila unaloambiwa ni kweli,chakufanya huyo alokwambia mwambie atakua kwenye nafasi nzuri SANAAAAAAAAA...
Ivi kweli wewe ni mwanamke? hujawahi kusoma au kuona japo kwa majirani wasio kua na watoto? huisi ukimsihi asitoe mimba huenda akakuelewa na utakua ume save maisha ya huyo kiumbe? una miaka mingapi? nisijekua naongea na chekechea..........
Sidhani kama ni kazi yako kupekura ya watu,ikuume wewe ndugu wa marehemu? nnahakika unayako kibao yanahitaji ufumbuzi,sasa baada ya kupoteza mda na kuchelewa kufanya yako achana na habari za watu..kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe...........
Sasa huyo rafiki yako anataka kuumiza watu vichwa labda hivi labda vile? asikushughulishe sababau anaijua mwambie akiwa tayari anataka mshenga ndio uende au nenda kamulize mkewe eti kweli umesema mumeo aoe mke wa pili? as long as muhusika yupo kwanini ujipe tabu yakufikia unatia nakutoa na jibu...
Kuna watu wana moyo jamani,Mbasha kama amerudi sijui nimueleweje..... yani ingekua mimi ningemsamehe lakini ndio basi kila mtu awe na lake yani huyo mwanamke ni balaaa.............
Mkuu huyu mke/mchumba hii tabia ni mpya au tangu zamani ya nipe nikupe? manake mie nahisi nikama vile anakuuziaaa,
Jengine jaribu sana kutafakari kwenye kuchagua mwanamke /mwanamme atakae kua mzazi mwenzio kwani yeye ndio atakua mlezi wawatoto wako sasa kama Mama akiwa na tabia ya sikupi nanihii...
Ukisema mapenzi ya kulazimisha unamanisha wewe ndio umelazimisha kupendwa au yeye anakulazimisha kukupenda?
sikia shosti mapenzi hayalazimishwi na kama kweli unakereka na tabia zake am sure ungesha ji SORT zamani sanaaaaa
Ebu sema kweli kilichokupeleka kwa mlevi nikitugani? au unataka kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.