.
Mkuu Masaiti,
Mimi nipo.
Nimeamua kukaa kimya na kuwaachia watu kama akina Kail.
Ambaye kutokana na ufinyu wa mawazo yake,basi kila mtu anayechangia na ni tofauti na mawazo yake basi huyo ni afande samwel.
Tunawalaumu viongozi wa nchi yetu na wakati hapa jf kuna watu close minded na negative...
.
Kizuri zaidi ni Harrison Mwakyembe kupewa unaibu waziri.Sasa sijui atatwambia nini tena kuhusu ukwamishaji wa maendeleo wilayani kyela.Baado tatizo litakuwa ni mkuu wa mkoa wa mbeya?
.
Mkuu 3D,
1.Tunashukuru kwa post yako.
Nafikiri tukichapana kidogo,itapunguza madudu yote haya.vita ni vibaya sana, lakini ufundisha.
2.Walianza kufanyiana wenyewe ccm kwenye kura zao za maoni na watu tuliandika,lakini JF mkayapuuza.Ata reseachers waliokuja hapa kyela,nao waliandika,lakini...
.
Jamani,
Hapo ndipo mnapotuchanganya sasa.
Taarifa inasema amekamatwa akitaka kutoa rushwa.Sasa kelele zote hizo za nini?.Si kuna mahakama na atakwenda kujitetea huko?Ushabiki gani huu wa kutotumia akili.
.
3.Kuna kundi lingine la wanaojiita vinara wa kupigana na ufisadi.Nalo linamtandao wao ambapo wamejipanga kuhakikisha wanarudi bungeni, wakifadhaliwa na mfadhali wao wakila siku.
Sasa Maswali uliyomuuliza Dr Mwakyembe, mbona hakuna utofauti na Mwaswali aliyoulizwa Lowassa na TBC. Unauliza mswali na wakati majibu unayo? au ni kampeni? shame!
Huu ndiyo upumbavu mkubwa.Kila anayejitokeza kugombea, katumwa na mafisadi?So stupid. wasomi kuwa na idea ya kijinga namna hiyo.Watu watashindwa kutumia demokrasia yao,eti wametumwa na mafisadi.
Kama yeye hana kesi, sasa anaogopa nini?.
Huu unaitwa upumbavu.
Kuna njia nyingi,lakini sio kuua raia.
Hiyo lecture yako ni mbuzi na ni mambo ya kizamani na ushamba mkubwa sana kufurahia mauaji.Ni u pumbavu!
mimi ninafikiri ni upumbavu mkubwa sana kuunga mkono mauaji kama haya.tuache ushabiki, lakini huo ni upumbavu kuua raia wema kwa namna hiyo.na sema ni upumbavu ku support kitu hiki.ni upumbavu
Huu ndiyo ujinga ambao tuwahi kujadili huko nyumba.
Mtu ku-join jana inamaanisha alikuwa hasomi post za jf?.
Badala ya kuuda hoja na tujadili,mtu anaanza kuangalia mtu ali join lini?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.