Huyu si Rais ni Mfalme,maana kwenye vyeo vya kifalme ,wanaoongozwa hawana ruhusa ya kuhoji mwenendo wa mfalme wao,uwa kama Mazezeta!
Kama ni Rais wanaharakati,vyombo vya ulinzi na vyama vya siasa vifanye jambo muhimu la kuleta mabadiliko ya uongozi.
Umempa ushauri mzuri sana hila nina wasiwasi kama atakuwa na hekima na busara za kuuona umuhimu wa kuupokea maana sidhani kama kwa awamu mbili za uongozi ambazo binafsi nimezishuhudia amewahi kutokea kiongozi wa kada yake(rc) akawa na nguvu kubwa(kulumbana na mawaziri nk) na kupuuza sheria...
umejustify kwanini Tanzania tunapaswa kwenda kuifanya Rwanda iwe east africa's transportation(and lately economic) hub na ndiyo hoja ya Bashe hapa kwamba kwanini tuistick kwenye EAC 's protocol ambazo tumeshiriki kwy maamuzi toka mwanzo!?
Sisi sote ni watanzania,wacha hayo mambo yako ya uzanzibar na utanganyika,wewe jenga hoja yako kwenye kile alichokisema kama yupo wrong or right just challenge her on that basis.
Kuna majibu alitakiwa kuambatanisha na hy clip aliyosambaza kwy mitandao ya kijamii hili apate kuaminika,mf.umri wake,cheti cha kuzaliwa,hatuha alizowahi chukua yeye na mama yake kwenda kwa Baba yake na kwa familia ya baba yake(na kama aliwahi kukataliwa,na ingefaa zaidi na mama yake angeeleza...
Fikiria na tafakari kwa umakini ndugu ndiyo utagundua uzito wa tuhuma za Musiba kwa mataifa aliyoyataja na hata kwa watanzania waliotjwa,kidiplomasia hy inatosha kabisa kuibua mgogoro wa kidiplomasia!
Kwanini vyombo vya usalama vya Tanzania hadi sasa havija chukua hatua kutaka Musiba athibitishe ukweli wa taarifa zake hizo na chanzo chake!kwa kifupi ni hivi "Ukiona Mbuzi juu ya mti jua amepandishwa"
wewe ndiyo una underestimate R m20 ndani ya DRC unajua wanafanya nini?Nani kaua akari walipo kwy operesheni ya UN kule DRC? ukubwa wa nchi si swala la ardhi/Raia pekee yake?!Kuna vinchi kama Lexemburg,Japan Etc kwa eneo ni vidogo kama R lkn ni hatari kuliko mataifa yenye eneo kubwa na wananchi wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.