Habari wakuu!
Naomba kujua ni Engine oil yenye grade gani inafaa kwenye Toyota harrier ya mwaka 2003 Engine 2AZ-FE 2400cc inayotumia petrol na inatumika hapa dar es salaam,maana nimeona mkanganyiko sana wengine wanasema 10W40 wengine 5W30 wengine 20W50, tupe muongozo wako kitaalam...
Wakuu habari ya muda huu! Naomba msaada wa kujuzwa Engine gani ni nzuri kwenye hizi Gari Townace au Liteace truck maana nimeona kuna engine nyingi sana kama 2Y,3Y,2C,4K,5K na 7K carburated na 7K enjection.Natanguliza shukrani
Habari wadau! Tunauza lady handbag(mikoba ya kike) jumla na rejareja tunapatikana Tabata-kinyerezi dar es salaam
Bei zetu ni nafuu sana
Contact-0712504655
Habari wana mmu! nimekuwa kwenye mahusiani na binti mmoja takribani miaka 3 tulianza mahusiano kipindi tukiwa chuo kiukweli tulipendana sana na kupeana support ya kimaisha kwani familia zetu zina uwezo wa kati,baada ya kumaliza chuo mwenzangu alipata kibarua lakini pia nilikuwa namsupport kwa...
wakuu habari zenu naombeni msaada naitaji kupata application inayoweza nisaidia kirecovery sms zilifutika kwenye android device ambayo ni samsung galaxy note 4
Wakuu habari nauza. kiwanja kipo kiluvya kwa komba
kina ukubwa wa Mita 40 kwa 23
Maji na umeme vipo.
Kipo kwenye ramani ya kijiji .
Bei 8M Negotiable
Mimi ni mmiliki halali wa kiwanja na sio dalali.
Karibuni
Wakuu,
Habari ya muda huu,naitaji kiwanja at least square meter 1000 kati ya haya maeneo mawili Goba au Kigamboni(isizidi 10 km) kutoka ferry.
NB: Naitaji Goba sio Tegeta A
Nauza simu samsung galaxy S3 black used with fully accesories.
Price 330,000/=
Nipo dsm,pm for business
BASIC SPECIFICATION
OS- Android 4.3 jelly bean
Display-4.8" super Amoled
CPU-Quad-core 1.4 GHZ cortex-A9
Primary camera 8M
Secondary camera 1.9M
Wakuu habari, naomba kujua hivi samsung galaxy note 4 kwa 500,000 inawezekana? Nimemkuta mkenya kwenye kupatana anauza hiyo bei.nataka kununua je ni kweli au utapeli.
Wadau habari ya muda huu,naitaji kujua huu ugonjwa kwa undani kwa yeyote anayefahamu chochote kuhusu huu ugonjwa anijuze maana kinakopita nasikia kafa au anaugua cancer ya kizazi
Brief on it ikiwemo dalili,visababishI,prevention na tiba pia.
Karibuni tujuzane!!!!
Wakuu habari ya muda huu, naombeni ushauri juu ya haya maeneo.nimepata viwanja viwili pande zote mbili vipo sawa kwa vipimo yani 30*40 na bei kote ni 6m cha kiluvya kipo kwa komba na chanika kipo mji mpya (kibaoni) naombeni ushauri wapi ni bora ukiangalia kuwa na maendeleo ya haraka.Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.