Naombeni mnisaidie jinsi mnavyofanya mfano mtu kapost thread yake halafu mtu anareply lakini maneno ya post ya kwanza yanajitokeza yakiwa na kwe kivuli chenye rangi.Kama bandugu tupeane maujuzi namna mnavyofanya hasa kwe simu.
Mwalimu wa Kigoma msingi anatafuta wa kubadilishana nae atoke kati ya wilaya hizi:-
1.Sengerema
2.Bunda
3.Misungwi
4.Ukerewe
5.Chato
6.Geita-wilaya zake zote
kwa aliye tayari mcheck kwe 0718347136
Mwalimu wa Kigoma idara ya msingi anatafuta mtu wa kubadilishana nae atoke kati ya wilaya hizi:-
1.Sengerema
2.Ukerewe
3.Bunda
4.Misungwi
5.Chato
6.Geita-wilaya zake
Kama uko tayari mcheki no 0718347136
Kuna ki-deck fulani hivi nilikachukua hivi majuzi ili nikatumie sehemu fulani katika mishe zangu lakini tatizo ni kwamba ukiweka USB na Adapter kanasoma Audio na Emage video haionyeshi.Sijui tatizo nini maana mi hizo issue za kutumia USB sijui adapter nilikuwa sizitumii sana ila vijana nilokuwa...
Jamani hebu mwenye kujua tarehe ya mwisho kupeleka barua za kuomba kubadilishana vituo vya kazi kwa walimu kwenda TAMISEMI ni ipi anijuze pia majina ya waliokubaliwa kuhama mara nyingi hutoka mwezi gani anijuze.Tafadhari nisaidieni hili maana kuna mdogo wangu yuko kwe process.Ahsanteni
Jamani mwenye kuelewa tarehe ya mwisho kutuma barua za kubadilishana vituo TAMISEMI anijuze pia na majina yanatoka lini ya wale waliokubaliwa kubadilishana
Tanzania imekuwa nchi ya amani kwa kipindi chote cha miaka 50 lakini nimejaribu kufatilia chanzo cha yote haya ni uongozi imara wa CHAMA CHA MAPINDUZI ambacho ndo chama chenye upendo wa hali ya juu kwa wananchi wake.
Kwa hili sidhani kuna wakupinga labda wale wa dakika 3 mbele na vidole vyao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.