Habari wana JF!
Jamani wananikera wale watu ambao wakiona ndugu yao amefariki ndio wanajitia kiherehere cha haraka kuanza kuanza kufuatilia mali za ndugu yao huku wakijua ameacha familia yaani mke na watoto au mtoto. Na kipindi chote cha uhai wake hawakusaidia kutafuta ila sababu amekufa ndio...
Yaani hiyo ni kweli kabisa na alithibitisha hayo baada ya kufanya upelelezi wa kina. Yeah ni kweli wanawake tunatakiwa kukaa mguu moja ndani wa pili nje!
Hivi mwanaume anapoamua kwenda kumchumbia mtu mwingine huku akiwa na msichana mwingine ambaye anamwonyeshea mapenzi kama kwamba ndiye mtarajiwa kumbe anamng'ong'a kisogo na kujifanya mkali kama ndiye baba mwenye nyumba kumbe loh. Ni hivi kulikuwa na mtu kaka na kaka mmoja ana girl friend wake...
Hakuna cha Ibilisi wala nini ni kujiendekeza tu, hata mimi nafikiri malezi yanachangia pia. Ibilisi gani huyo akufanye uangamize familia yako bila hatia yeyote pamoja na watoto zako mwenyewe? Basi si angemwacha na mkewe ili naye awe mmoja wapo!
Sasa pamoja na kufanikiwa kumuua baba yake na mama...
Mtu kuangamiza familia yako sababu ya mapito ya dunia?
Nazungumzia suala la mtu mmoja kuchoma nyumba makusudi kwa nia ya kumwangamiza baba yake na mama yake wa kambo, Hii ishu ilitokea siku mbili zilizopita huku Mbeya, Soweto ambapo kijana mmoja alikuwa amekorofishana na baba yake ndio akaamua...
Mungu yu pamoja nasi kila wakati, kila sehemu na huona shida zetu, husikikiliza mahitaji yetu, Na hakuna linaloshindikana kwake. Ila tunachotakiwa kutokata tamaa hata siku moja. Hatuna budi kumshukuru, kumsifu na kumtukuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.