Sababu kubwa inayofanya kuendelea kuwepo kwa VVU miongoni mwetu ni ARVs. ARVs humpa nguvu mgonjwa na kumfanya asioneshe dalili za ugonjwa kwa hali hii anakuwa ni hatari kwa asiye mgonjwa.
Kutokana na kupata nguvu na afya nzuri ARVs humuwezesha mgonjwa kuishi muda mrefu na kuambukiza mamia ya...
Makamba hana sifa, hizo ni story tu, hata mwigulu nayo stori nzuri zaidi ya hiyo. Hata sasa Makamba ni kiongozi, je, amefanya nini kipya katika uongozi wake wa sasa? Kwa hiyo akiwa rais ndiyo atanya maajabu gani? ikiwa kwa sasa anayoyafanya ni yaleyale tuloyazowea. Kwanza sifa yake na jina kubwa...
Kila kitu ndani ya inchi kinaendeshwa kwa kufuata katiba na sio inchi tu bali hata vikundi vya wakulima na vikoba vina katiba. Kinana anaposema 'katiba sio muarobaini wa matatizo ya wanainchi bali wanainchi wanahitaji huduma za msingi kama barabara, maji, afya nk' kinana hajui kuwa haki ya...
Hata mimi naweza kuyatamka mengi yaliyo mazuri hata kuzidi hayo ya Sokoine. Lakini je, watanzania wa leo watanipa nafasi ya kuwaongoza? Mazowea ndio maisha ya watanzania. Ni watu wasio na uthubutu hata kidogo.
Pumbaafu! amani na utulivu tulivileta wewe na mimi na sio CCM. What is CCM? Ni chama cha matajiri, ni chama cha kurithishana madaraka, ni chama kinachowasurubu wanyonge na kuwakweza wenye sauti na mali, ndicho chama kilichosheheni mafisadi walarushwa na wenye uchu wa madaraka, tena ni chama...
Serikali ya Tanzania hubeba mzigo mkubwa kuwahudumia waathirika wa VVU kwa kutoa posho kwa waathirika wa vvu, misaada na huduma mbalimbali zikiwemo dawa za kufubaza VVU (ARVs) bure ambazo ni maalumu kwa waathirika wa VVU.
Hali hii hupelekea watu kutojali madhara ya VVU na kulichukulia gonjwa...
Kumbe serikali ya ccm imeshindwa kutekeleza ilani yake yenyewe ndo maana kinana anaiponda, sasa huyo kinana ni chama gani? Na iwapo serikali ya ccm imeshindwa kutekeleza ilani yake yenyewe ( kwa mujibu wa kinana) sasa itawezaje kusimamia katiba ambayo ndio sheria mama na inatokana na wanainchi...
Sikutegemea...! Kumbe kinana bado mtoto mdogo sana yaani hajui hata kazi za katiba katika inchi. Hebu tujaribu kufuta katiba yetu ya sasa na tuishi bila katiba halafu tuone kama itawezekana. Kinana ni mpumbafu na wote wanaomsikiliza ni mbumbumbu. Huyo kinana akiwa rais anaweza kufuta katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.