Ccm wawe jasiri kuachana na huu utaratibu wa sasa. Unaweza kuja kuwaletea madhara ikiwa wananchi watamkataa kwa kura nyingi. Isitoshe rais si malaika, anaweza kuwa dhaifu nchi ikaharibika, miaka 10 si mchezo kuja kurekebisha. Ipo siku huu ubabe utafika mwisho, tuangalie historia ya nchi jirani...
Nakubaliana na wewe, kwa nini wamtukane kifichoni, labd wameona mapungufu mengi kwake na wanashindwa kumueleza...
Pamoja na hayo, kwa nini waendelee na uwaziri, huo ni uwoga na unafiki.
Tujue wanatunaje, tuseme wanamkashifu au wanamsema vibaya au wanasema madhaifu yake. Kusema tu wanatukana is too general for people to get the inner side...
Ukifuatilia muvi ya Brothers ... kwenye Startime utagundua ufanano wa kinachoteke katika mifumo yetu. Watu ambao hawafai na mafisadi wana ushawishi mkubwa kwa wananchi. Yaani wanachuliwa kama viongozi wema kumbe wamejivika tu ngozi ya kondoo kumbe ni chui. Sifa kubwa ni kujionyesha kama watetezi...
Nimekuja huku vijijini kulima na kweli naona watu wanafanya kazi hadi huruma.
Lakini wanakabiliwa na changamoto nyingi sana, wadudu, mvua, pmbejeo na utaalam. Mwisho hata wakivuna bei inadondoka. Nguvu waliyowekeza ni kubwa sana ukilinganisha na kipato.
Hawa watu hawana msaada hata wa maafisa...
Hakuwa na makuu hata. Siku moja alifika kwenye shule moja akajaribishwa bites kwe darasa akapata, kisha akaenda kujisaidia katika choo cha mkuu wa shule akisindikizwa na askari, alitushika mkono kusalimia. Hakukuwa na mbwembwe hata...
Ni kweli wajinga wanapenda watu wapendao kugombeza, kutisha, kubeza na kulaumu watu wenye vyeo na kujifanya wanawaonea huruma wanyonge. Wajinga wanamuona huyo kijana yuko sahihi.
Anayifanya kama angekuwa naibu waziri mkuu ingekuwa balaa, walio chini wangelazimika kujuuzulu,
Kiukweli katiba mpya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.