Hivi ndivyo ilivyokuwa leo;
Mgombea ubunge udiwani wakiwa Mbozi kijiji cha Isansa. Pamoja na kunadi sera za UKAWA, wamejikita katika haki, amani na kuonesha jinsi viongozi waliopo walivyoshindwa kufanya maamuzi sahihi, wameishiwa pumzi!
Isifike mahali tukaona kubadilisha s/kali (chama) ni uasi, usaliti, upumbavu, ujinga ama ulofa.
'Mtu anapofanya maamuzi anatumia raslimali na fikra alizonazo muda huo kwaajili ya matokeo ya baadae' ; TANU na ASP (ccm) wamekuwa na miaka zaidi ya 50 ya kufanya maamuzi lakini imefika mahali ni...
Salaam wanaJF !
Hivi karibuni tume ya taifa inayoshughulikia uchaguzi NEC, kupitia kwa mkurugenzi wake wa uchaguzi imetoa taarifa kuwa mpiga kura ataruhusiwa kupiga kura ya udiwani, ubunge na uraisi katika kituo alichojiandikishia tu na si vinginevyo. Nashangaa maamuzi haya ya NEC wakiwa na...
Ewura wamesema petroli imeshuka bei kwa shilingi za kitanzania 187 kuanzia jana.
Hii ni baada ya 'Sugu' kumbana waziri mwenye dhamana juzi bungeni kwa swali la nyongeza.
Source tbc habari.
Moto umezuka maeneo ya chuo cha Sokoine cha kilimo(SUA) karibu na round cafeteria ya main campus.
Moto huo umezuka na kuathiri baadhi ya grocery ambapo wanajamii 'wa SUA' hujipatia mahitaji mbalimbali.
Wadau wengi wanasema chanzo ni hitilafu ya umeme katika grocery hizo lakini chanzo bado...
Ni dhahiri kabisa matunda ya juhudi za viongozi wa vyama vinavyo ongoza harakati za mabadiliko yameonekana.
Juhudi hizo zinaongonzwa na wao lakini wanaoicheza ngoma hii ni wengi sana, hawa nao wanamchango muhimu kabisa kwa nafasi zao.
Kama ni safari inakaribia mwisho wala hatuko katikati. Na...
Nimesikia mara nyingi kuwa 'vijana waliohitimu kidato cha sita wanajiunga JKT kwa mujibu wa sheria', sasa nauliza ni sheria ipi hiyo na matakwa yake ni yepi ?
Salaam wanaJf !
Hatua tuliofikia kama taifa si nzuri kabisa kwaajili ya maridhiano na mwafaka wa katiba mpya huku suala la muungano likizidi kutokotesha msuguano. Na ikumbukwe malumbano ya muungano yanajirudia kwa viwango tofaui na hatimae yaweza kututia kasirani.
Kati ya mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.