Search results

  1. Mkyamise

    Upi utaratibu mzuri wa kufuata ili kulinda haki ya mtoto anayetuhumiwa kushibisha mimba mwanafunzi?

    Nenda Ustawi wa Jamii katoe taarifa. Kwa kuwa wote wapo under 18, mvulana atachapwa viboko na kesi itaisha. Ila kwa shuleni mvulana huyo atafukuzwa shule kwa kuwa mwanafunzi haruhusiwi kujihusisha na mapenzi. Hili ndio kosa. Ila binti na shule ndio bye bye! Labda asubiri akijifungua kuna fursa...
  2. Mkyamise

    Waziri Nchemba: Utoaji risiti za kielektroniki imekuwa kama punguzo la bei, mteja asipopewa risiti anapunguziwa bei

    Ukiingia dukani kununua bidhaa, tegemea yafuatayo: 1. Majadiliano ya bei ya bidhaa unayoitaka 2. Aina ya risiti unayoitaka 3. Ukitaka risiti ya Nchi utapata bidhaa hiyo kwa bei ya moto 4. Ukitaka risiti ya kawaida utapata bidhaa hiyo kwa bei iliyopoa.
  3. Mkyamise

    Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa

    Huyu Mh alinukuliwa hivi karibuni akisema kuwa hajui mgao utaisha lini. Leo anasema umeisha. Hapa ninapoandika ujumbe huu hakuna umeme hapa nilipo. Hii inji ni pasua kichwa kweli kweli
  4. Mkyamise

    Biashara za Kitanzania ni za ajabu sana

    Bila shaka utaamini sasa
  5. Mkyamise

    Biashara za Kitanzania ni za ajabu sana

    Yaani ndio zenyewe kabisa. Sio yeboyebo
  6. Mkyamise

    Biashara za Kitanzania ni za ajabu sana

    Yaani nimeona sendozi aina ya Teva inauzwa instagram 250,000! Nimepita huku mtaani nikazikuta kwa mmachinga, mpya kabisa. Nimempa elfu ishirini akapokea kiroho safi maisha yanaendelea!
  7. Mkyamise

    Padri Kitima: Bunge letu linafikiri kichama. Upeo wa kuchambua masuala ya nchi yetu umeshuka

    Kuna kijana mmoja nilimshangaa sana. Katotoka zake gesh.i akaanza mwaka wa kwanza shahada. Nilimshangaa sana kumkuta anachemsha maji ya kuoga saa saba mchana huku jua liliwaka ile mbaya!
  8. Mkyamise

    Zipi sababu za mgawo wa umeme usioisha Tanzania

    Huenda kuna jamaa kazi yake kubwa ni kuzima na kuwasha. Na anajisikia raha kweli yaani!
  9. Mkyamise

    Tafakari ya kabla ya sherehe za mwisho wa mwaka

    Ukiona yafuatayo yanakuandama jitafakari: 1. Kutumwa tumwa na hata uliowazidi umri, 2. Kuombwa kuchinja, kukata kuni, kuosha magari, kutafuta ng'ombe/mbuzi wa kitoweo, n.k 3. Kutoshirikishwa kwenye maamuzi ya familia/ukoo, 4. Vikao vinaendelea wewe unawekwa busy kuandaa maakuli, 5. Kuombewa lift...
  10. Mkyamise

    Chini ya uongozi wa Rais Samia viwango vya furaha kwa Watanzania vyaongezeka mitaani

    Jamaa anajitutumua sana na mazeri wake. Hongera kwa moyo huo. Huenda ukaonekana
  11. Mkyamise

    UDSM mnakosa hata Solar power karne hii?

    Usishangae UDSM peke yake, wale wanasayansi/wagunduzi wa Kigiriki miaka hiyo mbona miaka hii yetu hawapo? Akili ya binadamu kadiri vizazi vinapoongezeka IQ inashuka. Kuna version mbalimbali za binadamu! I'm sorry to say this.
  12. Mkyamise

    Kwako Seleman Jafo

    Hongera kwa majukumu yako ya kila siku. Najua unapitapita humu jukwaani. Kuna jambo la kimazingira ambalo pengine halisemwi ila lipo katika maisha yetu ya kila siku. Jambo lenyewe limetoa ajira kwa watu wengi ila ni hatari kwa mazingira yetu. Jambo lenyewe ni namna bora ya uteketezaji wa...
Back
Top Bottom