Search results

  1. Underdog

    Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

    Mkuukama hutojali naomba hiyo ramani DM nami nijipe stress nayo. Ahsante
  2. Underdog

    Uliza swali lolote linalohusu taaluma au nafasi za taaluma (academic positions)

    Je, inawezekana mtu kusoma certiface ya environmental health na baadaye akasoma public health kwa ngazi ya diploma? Ahsante.
  3. Underdog

    Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

    Naamini wewe kama ilivyo Mimi, hujaona hata kipengele kimoja kwenye huo Mkataba, kwa hiyo kushupalia tu hao Mabwana wapewe huo mradi bila kujua masharti yao, ni jambo la ajabu. Inawezekana ni kweli hatuna upekee wowote kwa mtizamo wa nchi zingine, ila sisi ni wa pekee. Kama kuna kwingine...
  4. Underdog

    Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

    Haiwezekani tukubaliane na kila sharti lao kwa jina la kwamba wao wameweka mitaji, kwa hiyo hata kama masharti ni wa kinyonyaji tukubaliane nayo tu blindly? Kama Taifa tunauhitaji huu mradi ila sidhani kama ni kwa hizo sababu ulizoainisha. Hichi siyo kizazi cha mwisho cha Watanzania, bado kuna...
  5. Underdog

    Wale wa TRA mkeka upo hewani

    Ndugu inawezekana ume-graduate karibuni, kama sivyo basi uzoefu wako ni mdogo sana. Ukiachana na kazi za ukufunzi pengine na utafiti, hakuna sehemu GPA inazingatiwa kama kigezo cha mtu kupewa kazi.
  6. Underdog

    Mabadiliko makubwa ya viongozi wa serikali yakamilika; yatawagusa pia viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama

    Mkuu hongera na shukrani kwa mchango wako mzuri. Ni vizuri kwamba Bunge lingetumika kuchuja watendaji wa baadhi ya taasisi, lakini pia ili tuwe na imani na bunge, ni vyema utaratibu wa kuwapata wagombea ubunge pia ubadilike. Kwa mchakato uliopo wa upatikanaji wa Wabunge, ni sahihi mtu kusema...
  7. Underdog

    Nahitaji nini ili niwe mwandishi wa habari za uchunguzi?

    Ukifa atakupata wapi? Ungetumia hii fursa kuelimisha wale wenye ndoto kama ya Muuliza swali au hata wale ambao wangependa tu kujua mchakato unavyokua.
  8. Underdog

    Kamanda Sugu yuko wapi?

    Jibu la alipo linaweza likawa lipo kwenye ufafanuzi huu hapa chini. Wanasaisa (mathalani Wabunge) wana taswira tatu; Mosi, kuna wenye taswira ya Kijimbo. Hawa wakiwa bungeni unakuta michongo yao mingi inalenga masuala yahusuyo jimbo lao tu. Mifano ipo mingi ila mmojawao ni aliyekuwa M'bunge wa...
  9. Underdog

    Wahandisi waliosajiliwa wananufaikaje?

    Umeelewa mada Mkuu au elimradi tu nawe umeunganisha herufi kutengeneza sentensi?
  10. Underdog

    Wahandisi waliosajiliwa wananufaikaje?

    Bila shaka mu bukheri wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Leo ningependa tujadiliane kidogo kuhusiana na manufaa tuyapatayo sisi Wahandisi tuliosajiliwa (Professional Engineers). Kwa Wahandisi tofauti na wale Civil Enginners, tuchukulie mfano Mechanical Engineers na wengine...
  11. Underdog

    Naomba kujua Faida yoyote ya Jeshi lolote la Afrika Kuficha Taarifa za Kuuwawa kwa 'Ambush' kwa Wanajeshi wake

    Nina imani na Jeshi letu lakini kusema kwamba tuna intelijensia nzuri kuliko majeshi mengine (jambo ambalo ningejivunia kwalo), inaweza ikawa ngumu kidogo kudhibitisha. Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache yaliyobarikiwa kutokuwa na vihatarishi vikubwa vya ugaidi. Kwa hiyo, walao when it...
  12. Underdog

    Askofu Zakaria Kakobe Aungana na Tundu Lissu: Ni Kuhusu Tanganyika na Zanzibar. Afafanua kwa mapana

    Ukweli ni kwamba Muundo wa Muungano wetu ni wa kipekee, pengine kidogo unaweza ukawa unafanana na ule uliokuwa wa Senegal na Gambia. Kama alivyouliza Askofu, ni jambo la kushangaza kwamba kwa upande wa bara, mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na Rais wa Jamhuri wa Muungano. Hata kuna nyakati...
  13. Underdog

    Naomba kujua Faida yoyote ya Jeshi lolote la Afrika Kuficha Taarifa za Kuuwawa kwa 'Ambush' kwa Wanajeshi wake

    Natamani iwe hivyo, ningependa kujua ni matukio gani ambayo jeshi letu lime (li)weza kung'amua na kuzuia kabla ya mipango kutimia. Ahsante
  14. Underdog

    Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

    Corridor ya Lobito ilikuwa operational kabla ya miundombinu kuharibika kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe (Wa-Angola). Kuharibika kwa miundombinu ndiko kulikoipelekea Zambia kutumia reli ya TAZARA na bandari ya DSM kama m'badala wa kusafirisha bidhaa zake. Kumekuwa na mipango ambayo...
  15. Underdog

    Wazee wa PSSSF na NSSF nipeni uzoefu kidogo!

    Pengine swali langu halijaeleweka, namaanisha mtu labda kafanya kazi private sector kwa miaka miwili (akawa anachangia NSSF) then akapata Serikalini (ambapo atakuwa anachangia PSSSF), Je akaitaka kuchukua hiyo michango yake ya NSSF punde tu baada ya ku-resign ili ajiiunge PSSF itawezekana? Ahsante.
  16. Underdog

    Wazee wa PSSSF na NSSF nipeni uzoefu kidogo!

    Vipi kwa mtu aliyekuwa anafanya Private sector (akichangia NSSF) then akapata kazi Serikalini, je, anaweza kuchukua mchango wake wote NSSF? Ahsante.
  17. Underdog

    Maintenance Supervisor at Tembo Nickel

    Kwani wana maajabu gani Mkuu panapohusika maslahi ya Mfanyakazi?
  18. Underdog

    Kwanini Jumaa Aweso anaonekana kukubalika zaidi?

    Wizara ya maji haina ugumu wowote kama kuna bajeti, ukishakua na bajeti kinachobaki ni usimamizi tu ambao mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kufanya. Hakuna mambo yoyote ya ajabu kutoka kwenye wizara ya maji ambayo yashafanyika tangu yeye awe Waziri. Tungemuona wa maana sana kama angegusa...
Back
Top Bottom