Search results

  1. Chona

    Kusuasua kwa ujenzi wa barabara ya lami toka Chuo Kikuu Ardhi kwenda Goba

    Barabara hii imekuwa kwenye ukarabati kwa muda mrefu sasa. Lakini kwa miezi kadhaa sasa toka ujenzi uanze kumekuwa na kusuasua. Kitu cha kushangaza hakuna hatua inayopigwa na hivyo kupelekea usumbufu kwa watumiaji na wakazi wa pembeni mwa barabara hiyo kutokana na vumbi kubwa linalotimuliwa na...
  2. Chona

    Ombi langu kwa TRA (Mamlaka ya mapato Tanzania)

    Nianze kwa angalau kwa kupongeza juhudi zao wanazozifanya katika kukusanya kodi. Ni ukweli uliowazi kuwa wafanyabiashara wengi hawapendi kulipa kodi. Hii inachagizwa zaidi pale walipakodi wanapokuwa hawaoni faida anayoipata kwa kulipa kodi. Wanapolipa kodi wanategemea huduma kwao ziboreke...
  3. Chona

    Ushauri wangu kwa serikali juu ya migomo ya wafanyabiashara

    Kumekuwa na tabia ambayo imezuka na inazidi kukua kwa kasi hasa juu ya muungano wa wafanyabiashara linapokuja suala linalogusa maslahi yao. Suala la muungano ni jambo jema ila muungano usiokuwa na maslahi kwa wananchi na nchi kwa ujumla huku ukiwaumiza wananchi kwangu mimi ni upuuzi. Toka...
  4. Chona

    Mabehewa ya Treni kwa ajili ya usafirishaji mizigo yawasili

    Kwa muda mrefu kumekuwa na kilio cha wadau wengi kuilalamikia serikali kwa kutoboresha reli ya kati ili iweze kusafirisha mizigo inayokwenda kanda ya ziwa, Kigoma, Burundi na Rwanda . Kilio hiki kinasababishwa na ukweli usiopingika kuwa barabara zetu zimekuwa zikitengenezwa kwa gharama kubwa...
  5. Chona

    Watangazaji wa aina hii ni janga la taifa

    Si kawaida yangu kumattack mtu personally ila kwa hili nimeshindwa kujizuia. Nilipata msituko baada ya kusikiliza vidokezo vya habari kwenye taarifa ya habari ya leo 30 july 2013 saa 2 usiku iliyotangazwa kwenye kituo cha redio cha Radio One. Kisa chenyewe ni kwamba mtangazaji wakati...
  6. Chona

    Wito kwa tanesco

    Wengi mtakuwa mnatambua eneo hili. Eneo hili lipo kati ya kituo cha daladala cha Sayansi na Kituo cha Bamaga. Lengo langu kuu ni kuwafahaisha wahusika wa Tanesco kuwa kuna nguzo moja ya umeme maeneo hayo nyanya zake nadhani hazipo sawa. Kila ninapopita hasa kama kuna foreni utasikia sauti kama...
  7. Chona

    Tapeli la Kijerumani latikisa Dar

    [MTU mmoja raia wa Ujerumani, amewaliza Watanzania wengi baada ya kufanikiwa kuiba kwa njia za kitapeli mamilioni ya fedha. Raia huyo ambaye amekuwa akibadilisha majina, kwa zaidi ya miezi miwili sasa, amejichimbia katika hoteli kubwa za kitalii akijifanya kuwa wakala wa dawa za mifugo na...
  8. Chona

    Mauaji yanayoendelea tanzania na kisa cha mtego wa panya

    Kisa hiki si kigeni masikioni pa wengi lakini pia nishikuru ndugu yetu Majjid Mjengwa kwa kukiweka katika maandishi nami nimetumia maandishi yake kuwakumbushia watu. Ndugu zangu, Kuna kisa cha mtego wa panya uliosababisha madhara hata kwa wasio panya. Panya kwenye nyumba aliubaini mtego wa...
  9. Chona

    Sehemu zenye wafanyakazi wengi wa nje wenye sifa sawa au pungufu ya zile za wazawa

    Kwa muda mrefu kumekuwa na malalamiko kuwa baadhi ya makampuni, NGO, Mashule, Taasisi, Viwanda na sehemu zingine za kazi kumekuwa na ongezekeo kubwa la wafanyakazi wa Kigeni, hali inayoashiria kuwa nafasi nyingi ambazo zingeweza kukaliwa na wazawa na kupunguza tatizo la ajira sasa zinakaliwa na...
  10. Chona

    Kwanini????

    Nimekuwa nikijiuliza bila kupata jawabu sahihi. Nikaona leo labda niwaulize wa JF pengine mnaweza kunipa jawabu la hiki ninacho jiuliza. Nchi hii ilipata uhuru wake miaka 50 iliyopita, na kwasababu hiyo tumekuwa na baadhi ya mikoa na wilaya zilizoundwa kwa muda mrefu zaidi ya miaka 30. Lakini...
  11. Chona

    Serikali na afya za wananchi wake

    Siku zote nimekuwa nikihamini kuwa serikali yetu haina uthubutu na wala jitihada za kumsaidia mtu wa chini (watu wasiokuwa na uwezo/ watu wa hali ya chini). Katika kuthibitisha hilo jana waziri mkuu Mizengo Pinda aliutangazia umma na hasa Madaktari waliogoma kushinikiza kutafutiwa ufumbuzi kwa...
  12. Chona

    Ujazaji wa form za Board ya Mikopo kwa wanaotaka kujiunga na vyuo

    Wakuu nimejaribu kwa muda wa week nzima sasa kujaribu kujaza form za mkopo kwa ajili ya ya ndg yangu anayetarajia kujiunga chuo mwaka huu. Licha ya kufanikiwa kupata Password na username baada ya kujaza preliminary information lakini imeniwia vigumu ku log in tena. Kila nikijaribu ku log in...
  13. Chona

    Vifaa vya Butcher ya Kisasa

    Wakuu kuna ndugu yangu anatakufungua Butcher ya kisasa Mkoani. Ameniagiza nimtafutie vifaa kwa ajili ya ofisi yake hiyo mpya kwa hapa Dar. Nadhani vifaa kama machine ya kukatia nyama, mizani ya kupimia nadhani nikipata ile inayopima kwa digital, vyuma vya kutundikia nyama (viko kama hook) na...
  14. Chona

    Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano 2011

    Unaweza kupata orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano 2011 Kwa wasichana bonyeza hapa http://www.moe.go.tz/PDF/Orodha%20ya%20Wasichana-2011.pdf Wavulana bonyeza hapa http://www.moe.go.tz/PDF/Orodha%20ya%20Wavulana-2011.pdf
  15. Chona

    Elections 2010 Atimaye Mnyika atakanzwa rasmi kuwa mbunge mteule

    John Mnyika CHADEMA ametangazwa kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo kwa kura 96742 akifuatiwa na Hawa Mngulubi kwa kura 50544 wa CCM
  16. Chona

    Elections 2010 Siku ya historia siku ya kukumbukwa

    Ikiwa ni tayari saa 6 usiku na ni tarehe 31 october 2010. Ni siku iliyosubiliwa kwa hamu kubwa ili watanzania wafanye mabadiliko makubwa. Mabadiliko yatakayo kumbukwa na vizazi vijavyo kwa watakao fuatilia ukombozi na maendeleo ya taifa ili. Ni siku ambayo watanzania walisema sasa imetosha...
  17. Chona

    Naisikitikia tanzania

    Naisikitikia nchi yangu Tanzania kwa kile kilichokilichotangazwa na Prof. Magembe kuwa serikali itafuta mitihani ya Darasa la saba ili kuwawezesha wanafunzi wote kuingia kidato cha kwanza. Najiuliza swali, Je tatizo ni mitihani au tatizo ni ufahuru wao. Na kama tatizo ni ufahuru wao jibu ni...
Back
Top Bottom