Search results

  1. mende 2014

    Bodaboda kutii sheria bila shuruti ni kazi sana

    Huyu bodaboda amebeba abiria wawili halafu wote hawana helmet akikamatwa eti ameonewa. Hivi ni kwa nini hawatii sheria bila shuruti?
  2. mende 2014

    Mbunge wa Jimbo la Bunda mjini, Esther Bulaya yuko wapi?

    Hili Jimbo lilichukuliwa na Esther Bulaya baada ya wananchi kumkataa Steven Wassira. Sasa tangu achaguliwe hadi leo hii hata haeleweki na hatujui kuwa yako wapi maana tangu bunge limeisha wabunge wengine tunawaona majimboni mwao lakini huyu wa kwetu hatumuoni. Je, tulimchagua ili apate nafasi ya...
  3. mende 2014

    Kwa hali hii mishikaki itaisha?

    Wadau wenzangu sheria inasema kuwa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wasibebe mishikaki na badala yake wabebe abiria mmoja lakini naona kama sheria hii haisimamiwi vizuri na wahusika kama ilivyoaagizwa. Mfano angalia huyu hapa,.
  4. mende 2014

    Sheria inasemaje kuhusu miziki ya usiku.

    Wadau wenzangu sheria inazungumziaje hili maana kuna watu wanaweka mziki au kwaya kwa sauti ya juu sana katikati ya miji ya watu hata kama kuna yowe sehemu ya uhalifu hamuwezi kusikia. Hili limekaa vipi maana inakera sana wengine hatupati usingizi.
  5. mende 2014

    Sukari Bunda imekuwa almasi bei juu

    Hapa Bunda sukari imepanda bei toka 60,000 hadi 70,000 kwa mfuko wa kilo 25 kwa bei ya jumla ambapo kilo ni sh. 2800 lakini rejareja wanauza sh. 4,000 hadi 5,000. Cheki hii hapa.
  6. mende 2014

    Ni halali kuuzia kwenye kona kama hii?

    Wamachinga wanabuni sehemu mbalimbali za kufanyia biashara zao lakini kona kama hii kweli ni halali?
  7. mende 2014

    Polisi wetu wawe na Kauli nzuri kazini

    polisi wetu hawana mapokezi mazuri kwa raia. Leo nilikuwa kituo cha polisi nikamsikia polisi mmoja wa kike mwenye namba WP 6010 akimjibu vibaya raia aliyeenda kutoa taarifa kuhusu jambo alikokuwa nalo hata kufikia hatua ya kumwambia kuwa yeye hajamwajiri. Kitendo hicho kilinisikitisha sana na...
  8. mende 2014

    Kwa mtindo huu ajali zitapungua kama sio kuisha kabisa?

    Magari madogo maarufu kama hiace yanabeba watu kwa kubananisha ndani ya gari halafu juu ya bodi wanajaza mizigo kama mnavyoona hapa. Je, askari wetu wa usalama barabarani hawaoni,? Ajali ikitokea ndipo sababu zitakuwa nyingi Wakati wanakuwa wanawaona tu. Hapa kuna majipu yaliyoiva.
  9. mende 2014

    Kubeba mishikaki kwenye bodaboda itaisha lini?

    Jamaa huyu anafaa kutumbuliwa jipu maana anahatarisha maisha ya watu. Vile vile abiria hao nao ni majipu maana kwa nini wakubali kubebwa hivyo?
  10. mende 2014

    Ajali ya gari darajani, hakuna majeruhi wala vifo

    Gari limeangukia darajani lakini halijaua. Alikuwemo dereva mwenyewe na alilewa, ikiwa ni saa tano usiku..
  11. mende 2014

    Mbona vitu vilivyoisha muda wa matumizi vinauzwa madukani??

    Nasikitika sana kuona wafanyabiashara kuuza vitu vilivyokwisha mda wa matumizi( Expire date). Sijui wanauza bila kujua ama wanajua lakini wanauza tu kwa kuwa hawajawahi kuona kama kuna ufuatiliaji wowote? Serikali itazame hadi mikoani kubaini tatizo hili maana wengi wataumia. Vitu hivyo...
  12. mende 2014

    Kauli mbiu ya mwaka 2016

    1: POPO HULALA MIGUU JUU KICHWA CHINI LAKINI HAJINYEI. 2: KINYESI SIO MWIBA LAKINI UKIKANYAGA LAZIMA UCHECHEMEE.
  13. mende 2014

    DC Bunda atoa siku nne kwa polisi

    Mkuu wa wilaya ya Bunda Mh. Joshua Mirumbe awa mbogo kwa Polisi katika kikao kilichofanyika hapa Bunda katika mtaa wa Mapinduzi kujadili wizi wa kutumia silaha za moto unaotokea mara kwa mara katika mji huu. Wananchi waliilalimikia jeshi la Polisi kutofika kwenye tukio kwa wakati licha ya...
  14. mende 2014

    Majambazi wateka mji wa Bunda usiku

    Majambazi wamevamia duka la Muuza simu usiku wa saa tisa na kupora Simu zote na pesa katika eneo la genge la jioni. Kabla ya tukio hilo wakawa wamepiga risasi Nyasura mbugani mwendo wa saa nne usiku. Baada ya tukio walipiga risasi zaidi ya 10 na Polisi hawakuweza kujitokeza kujibu mashambuzi...
  15. mende 2014

    Mvua mwaka huu ni kazi kweli kweli

    Mwaka huu mvua inanyesha kama miaka ya zamani maana kila siku ni mvua hakuna kupimzika. Madhara yametokea mengi sana kiasi kwamba hata mazao yanapata shida sana kwa kulemewa na maji. Je, kwingineko vipi?
  16. mende 2014

    TANESCO Bunda kwa hili ni halali?

    TANESCO Bunda kila siku wanafunga ofisi kuanzia saa 6 mchana hadi saa 8. Je, kwa hili ni halali ama ni uhuni wanaufanya?
  17. mende 2014

    Majambazi wavamia na kuua Bunda

    Majambazi wamevamia hapa Bunda mjini katika stendi ya zamani majira ya saa mbili kasoro usiku na kupora katika maduka pamoja na kuua Muuza vitumbua baada ya kupiga yowe. Katika tukio hilio lilitokea mapema tena umbali wa kama mita 600 kutoka kituo cha Polisi wilaya lakini Polisi hawakuweza...
  18. mende 2014

    Kwa hali hii hakuna hata sababu ya kuwa na mwaziri

    Hii kasi ya mh. Rais ni kubwa sana kiasi kwamba sioni hata sababu ya kuwepo kwa mawaziri maana kazi infanyika kama vile mawaziri wapo wakati hawapo.
  19. mende 2014

    Usajili wa namba mpya za pikipiki

    TRA imesema kuwa mwisho wa usajili wa pikipiki hizo kwa hiari unaelekea ukingoni. Hivyo basi, amewaomba ambao hawajasajili wafanye hivyo mapema ili kuepukana na usumbufu wanaoweza kukumbana nao.
Back
Top Bottom