Hata siku moja... KUWA NA MAADUI WENGI SI SIFA NZURI!
Hao wapiga dili, Wapinzani, Mabeberu na Wahujumu uchumi ....
HAKUNA ALIYEWAHI KUHUKUMIWA MAHAKAMANI AKAKUTWA NA HATIA... ILA VIROBA VYA SANDARUSI VYENYE MIILI YA WATU!
IS IT NECESSARY THAT EVERY ONE WHO DIES... RESTS IN PEACE!!!
NAOMBA...
KATIKA SOMO LA MANTIKI...LOGIG!! Waafrika wanaishia kuwa wachawi kwa sababu ya kutengeneze hitimisho kwa vigezo (premises) moja tu, au kuunganisha matukio yasiyo na uhusiano katika kufikia sababu ya tukio
Mfano: MAMA MJA MZITO ASILE MAYAI... ATAZAA MTOTO HANA NYWELE!!
Mfano: MTIKILA ALIMSEMA ...
Sikilizieni Hotuba ya Nyerere ya mwaka 1995 ktk mkutano wa CCM - Dodoma. Huyu Kardinal anasema baada ya mtu kuhutubia yaani sherehe ya kanisa Lowassa aliingia vipi jukwaani kama hakualikwa..Mambo mengine bana sasa kama Lowassa akisiomama ndfio inaharibu jina la kanisa na dini au sii kweli...
Mimi sio mwanasheria ila ni gwiji wa mchezo wa CHESS! Luteni ana-predict two moves za mpinzani wake (wetu)! LAKINI counter attack yake inampa adui muda mrefu wa kufikiri...LUTENI NA PASCO peanieni contacts za kweli then do something!
Thanx for deleting the post... we understand your feelings... but moderate your thought...THIS IS A HOME FOR GREAT THINKERS...Deploy your brains not your guts!
Hivi MAGAMBA wangeshinda ARUMERU MASHARIKI tungeweza kutengua matokeo yao kwa matusi yaliyotumiwa na baadhi ya wapambe!
BABATI imekuwaje...Mpango mkakati wa MAGAMBA utashindwa kabla haujaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.