Mwl. Nyerere alikuwa binadamu na alifanya makosa mengi ya kutokujua na ya makusudi kwahyo tusipoteze muda kumtetea na kamanda Lisu amemaliza kazi! Nadhan sasa wanaong'ang'ania serikal 2 waone aibu na wapige hatua 5 tu za kufikiria kama kweli ni wasomi.
Wewe ni mjasiriamali wa ukweli. Ni lazima 2we creative maana biashara zipo na demand ni kubwa kiasi kwamba hali ilivyo sasa hatujafanya biashara kwa uhakika ila tunabahatisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.