Ni kweli. Unaweza kujisemesha kuwa umechelewa. Kwa sasa vijiji hasa Mwese wilaya ya Tanganyika, naona kuna uwekezaji mkubwa wa parachichi. Na hali ya hewa inasapoti vizuri zao hilo.
Kama haupo mbali na Mbeya, tembelea Rungwe Avocado Company. Ni kampuni inayozalisha maparachichi na miche ya hass avocado kwa kufuata kanuni za kilimo endelevu na huuzwa masoko ya ulaya. kuna wakulima kama 4000 ambao huzalisha kwa mkataba na hii kampuni. miche huuzwa sh 3500/, ekari moja kwa...
Halotel ni mkombozi. Huko vijijini kulikokuwa hakushiki mtandao wowote, halotel ipo. Maeneo ya Mbeya vijijini, Ileje na Chunya huwaambii kitu halafu net huko inasoma +H
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.