Huyu jamaa ni bonge la jinga ,na Watu kama hawa ndo mtaji.mkubwa wa CCM.Waarabu wanaona mbali future za watoto zao na wajukuu zao.Kaachini fikiria vyema utajua kuwa wamekosea...
Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.
Ningekuona wa maana ,kama ungesema waweke utaratibu wa mtu kufanya kazi Miaka 10,then unapisha wenzio.
Hakuna anayependa, kukaa nyumbani tuu bure bure.Kazi ziwe za mkataba Kwa miaka 10 .
Kama mwanaume,utakiwi kuwa mwoga wakujaribu na hata ukianguka unabidi urudi tena kwenye mapambano.Mimi nachoongea matarajio yawe Kwa kiasi .. mtu anajua kuwa biashara ya bajaji itamletea 20000 Kila siku, lakini Kuna siku haifikii hiyo hesabu au Kuna service za kufanya n.k
Daima usiache kujaribu!
Hakuna anayependa yamkute ,ila yapo na yanatokea.Kama Ningekuwa mwoga basi nisingekuwa na biashara ya usafirishaji.Matarajio.yasiwe makubwa kupitiliza...Maisha ni kujaribu na kuwa hodari na shujaa mwingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.