Amesema hivi "Katika watu wanao-enjoy duniani mimi ni namba moja, katika watu wanaokula raha duniani mimi ni namba moja,,, sitishwi na maneno yenu, sibabaishwi na chcochote kile"
Wabongo buana... leo asubuhi kazini jamaa anapokea taarifa za kifo cha mzee Mengi reaction ya kwanza ni "dah sasa K-lyn itakuje? atakayempata atamfaidi kweli maake alikuwa amebanwa" yaan taarifa ni ya msiba kuna wadau wanafikiria namna ya kumpasua mama twins... eeh M/Mungu utusaidie!
Wabongo buana... leo asubuhi kazini jamaa anapokea taarifa za kifo cha mzee Mengi reaction ya kwanza ni "dah sasa K-lyn itakuje? atakayempata atamfaidi kweli maake alikuwa amebanwa" yaan taarifa ni ya msiba kuna wadau wanafikiria namna ya kumpasua mama twins... eeh M/Mungu utusaidie...
Habari wanna JF?
Ninaomba kuuliza,,, ukiwa na account ya fedha za kigeni Kama ya currency ya Euro [emoji387], Je, unafanyaje ili uongeze thamani ya pesa utakayoitoa kutoka kwenye account yako?
A) Unatumia ATM ili itoke TZS straight
B) Unaenda dirishani utoe Euro [emoji387] cash ili...
Kama umechoka nenda ukazae,,, wabunge wakiongelea jambo lolote bungeni wana kinga na kama ni la kukashifu spika anaweza akamuomba msemaji kuomba radhi au kumpa siku kadhaa kuthibitisha kwa vielelezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.