Wanaobisha jambo hili hawajui maana ya sayansi na tecnolojia. Hivi sasa dunia ina sayansi ya hali ya juu hata ukiambiwa ukweli kwa akili za watu zilivyo finyu, huwezi kuamini. Jambo hilo linawezekana sana kuwepo. Uwezo wa wazungu kufikiri usalama wao ni tofauti na uwezo wa mwafrika kufikiri...
Kumbuka na utahakikisha magamba ya nyoka waamue mambo 2. Wamnyime comred lowasa chama kife au wampe lowasa ukawa ishindwe. Msumali ni wa jk. Kutema na kumeza anashinswa.
Ukweli ulio wazi hizi shule ni majanga hata jk anjua. Ni uozo na uongo shule ina wnfnz 500 walimu 10 hapo mwl wa sayansi hayupo kwa mda wa miaka 6. Wiki 1 wanasoma somo 1. Tena kiswahili. Alafu tunajifariji kwa mambo ya kijinga. Eti matokeo makubwa sasa fulish.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.