Mkuu usiwe na wasiwasi,ajila ziko nyingi sana mimi mwenyewe nimesoma bachelor open na nikawashinda wao unaowasema wa vyuo vingine,na kuna jamaa angu nimesoma nae na sasa ni anafundisha mzumbe university sheria.
Ndugu zangu wana jamii nimepata safari ya kikazi mbeya lakni nataka kusafiri na familia yangu,ni wapi nitapata apartment ambayo naweza kukaa kwa Amani hapo mjini kwa bei nafuu.
Wanajamii naomba kujua vigezo vya kuanzisha biashara ya supermarket.Pia naomba kujua wapi nitapata shelfu vike za chuma za kuwekea vitu kwa bei nzuri,naombeni msaada wenu.
Ndugu wana jamii naomba msaada kwa mtu mwenye utalaamu au aidia kuhusiana na aina yoyote ya mashine za kuchimba visima ambayo inafaa kibiashara kwa ajili ya kuwachimbia watu kama biashara yenye garama nafuu.na garama ya hyo machine na kuhusiana na garama zingne kama inawezekana.
Wana jamii wenzangu nawekaa hii mada tuweze kupeana ujuzi kuhusiana na hii technology inayotumika na mataifa ya nje kulisha mifugo Yao kwa mazao bora yanayotokana na hiyo mifugo,si hivyo tu hata majirani zetu kenya wameanza kutumia hii njia katika ufugaji.mwenye ujuzi kuhusu hii kitu naomba...
Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa wana jamii forum kwa misaada ya kimawazo tunayopeana,pili naomba kufahamishwa vigezo muhimu vya kufata wakati wa kufungua duka la dawa muhimu maana nasikia kuna masharti mengi sana pamoja na kujuana.naomba msaada wenu wandugu.
Nashukuru sana mkuu kwa maelezo yako, vp kwa huo mzigo mkubwa wa semi trailer kwa utalaamu wako ukisafirisha kuuza Dodoma utakuwa na faida nzuri? Na vp kuhusu garama za usafiri hadi Dodoma?
Nashukurun kwa maelezo yako kwani yamenipa mwanga sana,kwa utalamu wako kati ya hizo njia tatu za ununuaji ni ipi ambayo ni rahisi na inaleta faida nzuri zaidi?
Nashukuru sana mkuu kwa maelezo yako,vp kwa huo mzigo mkubwa wa semi trailer kwa utalaamu wako ukisafirisha kuuza dodoma utakuwa na faida nzuri? Na vp kuhusu garama za usafiri hadi Dodoma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.