Kwa utafiti upi ulofanya hapa kama sio ushabiki tu! Kuna wabunge viazi tu wa ukawa na wamepita kwassb ya upepo huu wa sasa wa kuwatumia vijana vibaya! Hivi watu ka sugu utanambia wanauwezo wa kujenga hoja! Tuache ushabiki nina uhakika kuna wabunge wazuri tu ssm this tym na impact itaoneka tusubiri
Umetumia maneno makali as if unajua huyu mama anatumika, sidhani kama uko fea kwa maneno ulotumia otherwise useme una uhakika kabisa na kifo misingi yake, Mungu aendelee kumpa wepesi mama mtikila
Magufuli atashinda mapema sana watanzania wengi wamemwellewa sana! Ukweli ni kwamba historia ya el inatukwaza wengine tunao fikiria mbele zaidi, wapo baadhi ya watu wachache sana ukawa ambao nawaamini lakini kwa aina ya hawa akina mzee kingu na Mr 0 hakika ikulu hamchomozi hata iweje. Magufuli...
Wananchi gani wameamua,? Sema nyie wavivu wakufikir na kuchanganua mambo mnaopelekwa kwa nguvu ya viroba ndo mmeamua, kwakuwa tupo wote subiri uone kama magu hataingia ikulu tena kiulaini kabisaaa
Hakuna anayemponda watu wanazungumzia Khali yake, it's true that mzee is unfit to run the nation, sote twaliona hilo sema twajitoa fahamu, huo ni uvivu wa kufikiri, tuache ushabiki tuwe wa kweli,
Mmeshikwa pabaya si mchezo, hizo kauli zako wewe tu isidhani wananchi hawajui na hawahitaji Rais aliye fit, kazi ya urais si lelemama, tuache ushabiki tu wakipuuzi
Unasikitisha crashwise, msiba ndo ushatokea ni mipango ya Mungu, mbona hata wengine wamefariki aisee leo tukianza kuulizana ati ccm walishindwa kufanya,, tutakumbushana mengi tu hata ya cdm, tumwombe Mungu rehema zake tuvuke salama
Jamani kuchanganya siasa na ajali ni kuchoka kufikiri huku, Mungu akipanga yake hakuna mwanadamu anaweza kuzuia, ifike mahali tufikiri kwa kina. Kutumia misiba kama rungu la kuipiga ccm ni kushindwa kufikiri sawa sawa, ajali ngapi na vifo vimetokea leo hii mnaleta siasa katika jambo muhimu kama...
Nimegundua leo watu tunaweka siasa na maslahi yetu mbele, kwelii ajali ikipangwa na muumba kuchukua wema wake kuna mtu atakaye pinga?? Leo hii watanzania tunaingiza siasa, tunaitumia ajali kama rungu la kuipiga ccm hakika tumechoka kufikiri sasa, mtikila kafariki kwa ajali, Mtoi pia, lembeli...
Tatizo la ukawa ni kuwa wanene tu ndo wanafaidi hawa wengine wanalipwa kiduchu safari hii mawakala watakua na neema hamna namna otherwise walipwe vyema wafungwe Kamera na traka juu ili kufatilia mienendo yao kama mnawasiwasi nao hahahaha, mtakaa ukiwa
Hakuna vita itatokea hapa, kila mtu atii sheria bila shurti, game bado haijachezwa watu wanaanza kusanda, ni uoga tu unatusumbua kama hatujajiandaa kushinda hatushindi, kuna mechi waamuzi wananunuliwa lakini huezi amini mtu anakula kichapo kama kawa! Kwahiyo tuwe wapole wavumilivu
Kusomba watu ni njia sahihi kabisaaa ya kuhakikisha watu wanafika kwenye eneo la tukio la kusikiliza sera, mbona el anawasomba pia, tena sana tu, kikubwa waje wasikie sera, sasa mzee wetu el yeye hata dk 5 tu haziishi hatumwelewi
Kusomba watu ni njia sahihi kabisaaa ya kuhakikisha watu wanafika kwenye eneo la tukio la kusikiliza sera, mbona el anawasomba pia, tena sana tu, kikubwa waje wasikie sera, sasa mzee wetu el yeye hata dk 5 tu haziishi hatumwelewi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.