Search results

  1. T

    UTABIRI: Ndugai kujiuzulu Uspika na Wabunge 19 bandia kung'oka

    Kuna uwezekano akatakiwa alipe fedha yote aliyowapa wabunge wasio na Chama ikiwa ni Pamoja na Mishahara na posho zote walizopokea pasipo uhalali. Huu ni uhujumu uchumi.
  2. T

    Mzee Sumaye ajitosa kumvaa Mbowe uenyekiti Chadema Taifa

    Chadema wanataka kuonesha nini maana ya demokrsia ndani ya chama.
  3. T

    Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

    Nimesoma thread inayoeleza kuhusu Kenya kusaini MoU ya ufundishaji Kiswahili Afrika ya Kusini kama hili ni kweli imenihuzunisha sana. Nchi yetu ina walimu wengi sana wa kiwango cha Umahiri(MA) Kiswahili na wanafundisha shule za msingi na sekondari (O level) baadhi ya walimu hao walishajisajili...
  4. T

    DODOMA: Jumuiya ya Wanataaluma wa UDOM, kugoma ikiwa malimbikizo ya madai yao hayatalipwa ifikapo Aprili Mosi 2018

    Cwt mbona hatuwaoni mkit etea wanachama wenu? Je, mnataka walimu tusimame mmojammoja tutaweza? Tafadhali wajibikeni.
  5. T

    Ripoti ya TCRA: tiGO ndo Mtandao unaotoza gharama kubwa zaidi

    Acha uongo mbona menú ya voda haioneshi hicho unachokiandika?
  6. T

    Mkutano wa CWT, Dodoma: Rais Magufuli awajaza pesa Walimu! Awataka kutochagua mtu kwa matakwa ya rushwa au siasa

    Naomba kujuzwa kwa waliokuwa wanafuatilia hotuba ya rais wakati wa ufunguzi wa mkutano wa cwt. Je amegusia suala lenye utata la watumishi waliopanda madaraja 2016 n'a baadaye kusitishwa ili kupisha zoezi la uhakiki?
  7. T

    Spika akataa swali za Suzan Lyimo kuhusu watumishi kutolipwa malimbikizo baada ya ahadi ya kupandishwa vyeo mwezi huu

    INAUMA SANA, JAMANI CWT NA TUCTA MKO WAPI? KUNA WATUMISHI WALIKUWA NA MIKOPO BANK, HESLB WAKAJA NA 15% WAKAFYEKA BAADHI YAO KWA SASA WANA MISHAHARA YA 20,000/= NA CHINI YA HAPO, TEGEMEO LILIKUWA MALIMBIZO YAO NA MSHAHARA MPYA MWEZI HUU. LAKINI KWA YANAYOKEA MATUMAINI KWA MTUMISHI YANAFIFIA.
  8. T

    CWT, CWT, TUCTA,TUCTA

    Kuna taarifa iliyoletwa humu toka kwa katibu mkuu utumishi kwenda kwa maafisa utumishi ikiwataka wafanye marekebisho ya barua walizonazo watumishi ambazo walikabidhiwa tangu mwaka 2016 baada ya kupanda madaraja na baadaye kusitishwa ili kupisha zoezi la kuwaondoa watumishi hewa n'a wale wenye...
  9. T

    Walioshinda rufaa vyeti feki

    Ni takribani wiki tatu sasa tangu katibu mkuu utumishi autangazie umma kuwa watumishi 450 waliokuwa wamekata rufaa wameshinda nà kutakiwa warudishwe kazini. Kwa masikitiko makubwa baadhi ya halmashauri hadi leo tarehe 1/8/2017 hazijawaandia watumishi hao barua za kurudishwa kazini...
  10. T

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Kumekuwa n'a kudhani kwingi sana baada ya statement ya Rais kuwa kuna mtu alimteua anajiita Prof wakati ni Dr. Wengine wanasema alimaanisha Muhongo wengine Ntalikwa n'a wengine Kafumu. Sasa ni nani aliyeongelewa n'a Rais? Mwenye jibu tafadhali tuondolee utata huu.
  11. T

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Kati ya prof muhongo na prof ntalikwa ni nani aliyesmwà n'a rais kuwa ni dr n'a si prof.
  12. T

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Aliyesemwa n'a rais kuwa anajiita prof wakati ni Dr ni nani?
  13. T

    Kairuki: Waliosingiziwa kugushi vyeti wakate rufaa, ila wakikutwa na makosa tena ni adhabu kali

    Hivi hukumu hii itakuwa ya haki wakati waathirika hawajapewa haki ya kusiklizwa kuhusu yaliyomo kwenye rufaa zao. Ingefaa wakapewa nafasi ya kujieleza kwasababu wapo tayari kwa lolote ili kutetea haki zao.
  14. T

    Ushauri unatolewa kwa wenye vyeti feki

    Muendelee kuwa kazini mpaka pale waajiri wenu watakapowaandikia barua za kuwafukuza kazi. Je wakurugenzi mudà utapofika watakubali kuandika barua hizo au watasema agizo limeshatolewa na mkuu wa nchi.
  15. T

    NECTA yaelemewa na Rufaa za vyeti vyeki, yasimamisha shughuli nyingine zote!

    Ninaishauri NECTA katika kutatua rufaa hizi ifuatilie majalada ya watumishi katika ofisi kama za TSC makao makuu ili kujua watumishi hao walitumia vyeti gani wakati wa kuajiriwa. Maana tatizo hapa ni kuwa mtumishi alighushi ili kujipatia ajira, kunufaika kielimu na kupanda cheo kazini.
  16. T

    Maisha: Wiki moja baada ya vyeti feki

    Dunia imetuangukia, mipango, mikakati na taratibu zote za maisha zimecollapse. Watoto wanashangaa furaha ndani haipo tena, baadhi ya watu wanafurahia kuwa sasa ataishi kama shetani. Kuzoea maisha bado muda ni mfupi sana. Mungu tia moyo wa ujasiri kwa watu hawa kwani hawana Kimbilio jingine bali...
  17. T

    Ushauri kwa Mh. Rais, waziri Kairuki na Katibu Mkuu utumishi

    Waziri Kairuki fanyia kazi ushauri huu tafadhali. Pia mwenye email adress au namba za Mh waziri au katibu mkuu utumishi aziweke ili niwatumie ushauri huu.
Back
Top Bottom