You are details are true mkuu, thats waht I do understand too. Ila hiyo fact ya doctor i dont know for real. Kimsinginahisi kuna masuala mengine ila ishu ya blood groups kuwa sawa mhhhhh.....lets make more indepth research and see............
:)
Before doing anything or taking any legal or other measure kasome kwanza terms and conditions za kutumia link ya zoom halafu unaweza ukaongea nao kuhusu privacy ya CV zetu coz unaweza kuchukua hatua kumbe kila kitu kiko open kwenye terms and conditions.
So better do that and see to them first...
any way angetoa ushauri tu kwamba maambukizi sasa yako juu generally bila kurefer clients wake
nna wasiwasi anaweza kukutajia kabisa ni kina nani hao walioenda kupima kwake
confidentiality is needed the most
Jina la kampuni kaka
am sorry for asking but ishatokea tunatuma cv to untrusted people af wanaanza kusumbua kwenye eamil zetu na kutupigia cm kwa mambo yasiyo na mantiki
Mi naomba nipingane na wewe. Nimshauri Dr. afokas kwenye mbio za urais na harakati nyingine za Chama. Kugombea jimbo hilo ataonesha ana uchu wa madaraka coz there others who can stand for that post. He better stays behind
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.