Search results

  1. S

    Bila mshahara wa 1M sikubali hiyo ajira

    1. Bila mshahara wa 1m sikubali kuajiriwa, kila mtu lazima aji value 2. Chuo chetu ni chuo bora, waajiri wakikiona ktk interview wanatuchukua 3. Ajira nitakayokubali iwe Dar, Arusha, Dodoma na Mwanza. Huko kwingine siendi 4. Kwa hii GPA najua simalizi mwezi mtaani bila kazi Sasa ndio...
  2. S

    Dada Baiskeli zako zinaharibu kibaraza, hadi mama aingilie?

    Dada tunajua nia yako njema vijana wasikae bure ukaja na wazo la zile Baiskeli za miguu mitatu kubebea abiria upande huu wa chumba chako yaani juu kusini. Tatizo hawa vijana wako wanaziendesha kwa fujo kibarazani na hawaambiliki wala kupangika na ni wengi hadi inakuwa kero tofauti na maeneo...
  3. S

    Wachekeshaji wetu wafunzwe diplomasia

    Kuna umuhimu mkubwa wa kufundishwa diplomasia kwa kila mzungumzaji kwenye hadhira iliyo na watu wa mataifa mbalimbali. Unaweza kudhani unachekesha watu kumbe unaharibu. Public speaking is an art, the untrained need to be trained before being given platform.
  4. S

    Nyayo unazoacha ndizo zitakusumbua

    Pale utakapohitaji kuaminiwa zaidi, watu wataangalia nyayo zako kote ulikokanyaga. Inawezekana sasa unaona kama ndoto zako kubwa haziwezi kutimia hivyo unapiga bora liende, ila kuna siku watu watatazama nyayo zako na ndizo zitatumika kuamua yakuhusuyo. Freemind to think and advise, no personal...
  5. S

    Foleni ya malori bandarini Dsm ni hatari

    Wanaopita barabara ya Mandela mpaka daraja la Kigamboni watakuwa wameona shughuli. Je, tatizo ni nini na litakaa muda gani watu wajiandae kisaikolojia? Bila shaka swali hili la nyongeza litajibiwa na waziri mwenyewe sio naibu wake [emoji2][emoji2]
  6. S

    Kikao cha usengenyaji

    Kanuni huwa ni moja tu Ukiondoka kikaoni wenzio wakabaki, wewe ndio utaanza kusengenywa/kujadiliwa na waliobaki. Salama yako ni kuwa unapoondoka, ondoka na wenzio na kikao kifungwe au EPUKA na EPUSHA vikao hivyo period!!. Ushauri wa bure.
  7. S

    Kulipia Daraja la Nyerere Kigamboni

    Hivi hakuna namna serikali inaweza kufanya ili kuwapunguzia mzigo wananchi wa Kigamboni wanaolazimika kulipia daraja wavuke kwenda kwao on a daily basis? Serikali inaweza kulipa deni hilo kwa NSSF kupitia kodi za wananchi maana madaraja mengine yamejengwa kwa kodi za wote. Yaani mlipa kodi...
  8. S

    TigoPesa kukaa kimya wakiwa na pesa zetu, tunashindwa kufanya miamala na hawatoi maelezo

    Hili la ndugu zetu Tigo kukaa kimya wakiwa na pesa zetu, tunashindwa kufanya miamala na hawatoi maelezo mapema kwa walaji, Waziri ulifanyie kazi. Napendekeza kila mwenye fedha TigoPesa apewe gharama za usumbufu 3% ya kiasi alichonacho katika account
  9. S

    Natafuta Motherboard ya Lenovo Ideapad 100

    Natafuta hicho kifaa hapo juu PC yangu imezingua. Tafadhali anaefahamu wapi naweza kupata anijulishe.
  10. S

    Maendeleo yapi yanaelekea Kigamboni

    Sijafanikiwa kusikiliza mipango toka kwa Mheshimiwa RC ihusuyo mkoa wa Dar na hasa Kigamboni, naomba aliesikiliza atoe update ya mipango specifically wilaya hiyo maana ndio kama bado iko nyuma ukilinganisha na wilaya zingine za Dar,
  11. S

    Mzumbe University kulikoni?

    Kama alumni wenu ninapenda kujua kinachoendelea huko lakini nafikiri ni zaidi ya miezi 6 siioni hata website yenu hewani. Tulizoea kuwaona through mu.ac.tz au hata ku-google direct name lakini siku hizi naona ile ya Mbeya na ya Dar tu, Main kulikoni? Je ni kweli kuwa Mzumbe ya ukweli iliondoka...
  12. S

    Matokeo ya CPA(Certified Public Accountant) kwa November 2018 haya hapa

    Karibuni kwa sherehe au kujipanga kumalizia palipobakia, NBAA hawapoi hawaboi Examination Results |BODI YA TAIFA YA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA (NBAA) Nenda website yao kwa upya, 1. education and training 2. examination 3. examination results Kama list ya waliotokeza tu njoo hapa
  13. S

    Hii form ya traffic inamhusu nani

    Naomba kufahamu kwa mwenye uelewa kama ni kwa gari za biashara, mabasi ya mikoani au wote
  14. S

    Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

    Umofia kwenu, Leo nipende kuleta kero ya baadhi ya mamonita madarasani. Hii inahusisha mamonita wa shule za kata hadi zile za private ambao kwa kweli wanatumia nafasi na madaraka yao vibaya. Tunafahamu kuwa ninyi ni viongozi wetu wa madarasa lakini tunaona kuwa kuna mambo mnahitaji kujua...
  15. S

    Ni vema maembe kuliwa yakiwa yameiva

    Maembe yaliyoiva yanavirutubisho vyote muhimu kuliko yale ambayo hayajaiva. Toka zamani kuna baadhi ya wanyama wamekuwa na tabia ya kuiba maembe ambayo yako mitini na kuyala ilihali ni mabichi na wengine kula na chumvi kitu ambacho sio sawa, ilibidi wayasubiri yakomae yaanguke yenyewe wayale...
  16. S

    Kampuni inayofanya "iso certification" inahitajika

    Kampuni yetu iliyopo Dar inahitaji kuwa ISO Certified, kama kuna mdau humu anafanya kazi ya kusaidia kuandaa document tuwasiliane ili apewe kazi. Naona makampuni mengi yanayofanya kazi hii ni kutoka nchi jirani sasa, hii tenda akipata mbongo itakuwa poa zaidi. Kama yupo mtu tuwasiliae pm
  17. S

    Msaadaa tutani : Nyumba zinazouzwa mbagala kwa bei ndogo kulikoni ?

    Nimejaribu kufuatilia bei za viwanja na nyumba Jf na ktk mtandao fulani maarufu wa kuuziana vitu na nimegundua kuwa bei za nyumba huko kidogo zipo chini sana, mathalani, unakuta nyumba ya vyumba vitatu ambavyo vina tiles, umeme, maji na gypsum inauzwa around 16M je hii ni hali ya kawaida? au...
  18. S

    Kiwanja /Shamba kinahitajika Dar

    Shamba ekari moja jirani na barabara maeneo ya Kibaha, Kiluvya au Baobab kwa bajeti ya 5m lisilo na mgogoro linahitajika. Vinginevyo kiwanja kikubwa kiasi mitaa hiyo kwa bajeti similar tuwasiliane pm ili tufanye biashara Sent using Jamii Forums mobile app
  19. S

    Kikosi cha kwanza cha timu iliyopita

    Hiki ndo naamini kulikuwa kikosi cha kwanza cha timu iliyopita 1. Mizengo 2. Makame 3. John 4. Benard 5. Asha 6. Steven 7. Shukuru 8. William 9. Mary 10.Mark 11. Abdallah Substitute Harrison William Samuel George Jumanne Sospeter Anna Emmanuel Lazaro Hamis ILIKUWA TIMU...
  20. S

    Taaluma yenye wepesi wa kujiajiri

    Najua kuna wale wanaosoma kwa mfumo rasmi na wale wasiosoma mfumo rasmi sasa ningependa kufahamu kwa kutumia wataalamu waliopo humu ni taaluma gani ambayo unaweza kujiajiri maana kusubiri kuajiriwa inawezekana ukasubiri sana wakati mwingine kama kuna uhakiki wa vyeti feki. Pia elimu hii inaweza...
Back
Top Bottom