Hakumaanisha chakula kama...wali au ugalii...alimaanisha ajali za kiroho Na za kimwili-since vitabu vya dini vipo katika mafumbo...so kama ujasoma Bibel knowledge ni vigumu kutambuaaa hayaa...
Hahaha...sasa sikilizeni..."mwanaume ni kichwa" naweza kusema hii sentensi nzito yenye wepesi wa kutamkwa- inampa jeuri mwanaume...si mwanaume tu: Bali mwanaume mwenye choyo...Na si choyo tu Bali --------. Kwahiyo ndio hivyo...t
Aisee...mambo kama hayo yanapokudhuru ktk ujue kabisa kuwa Hugo...mwanaume hakupendi. Au ameshapata alicho kitaka kutoka kwako(kufanya mapenzi Na wewe). Au amekuchokaaa...
Yah!! Nisher... huyo jamaa c director wa video Bali photography... coz hana good scripts kwa vidio Sake... but anafanya fresh sana upande wa grading the colour of his videos.. kwa hilo big up kwake,
Lkn ile video ya shilole amevuruga... ninge kuwa mimi ninge shot kwenye migodi,feeds with...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.