AC to DC inverter input 220acV
Output 18dcV charger, Nitajuaje kama hii chaja inaweza kuchaji battery kwa mfano ya 100Ah mana kama solar panels inakuwa rated in watts kwahy inakuwa rahisi kujua mfano solar ya 200W inaweza chaji battery ya 100Ah na ikajaa
kwa hiyo kwa mfumo huu itahitajika both rectifier na inverter, Rectifier itumike kwenye kuchaji DC battery from AC power source then ili kutumia battery kwenye vifaa vyangu vya AC inabidi kuwe na inverter si ndio
Wakuu habari, ninapoishi umeme upo vizuri tu sema unakatika baadhi ya muda kwahiyo nahitaji backup system lkn sitaki kuingia gharama ya kununua solar panel nataka ninunue battery za solar, charge controller na inverter hapo nakuwa natumia umeme wa kawaida wa Tanesco kuchaji battery za sola...
Delta 2,this is Alpha 1 reporting Coodinate 050 446 113
Female terrorists is on sight,code red we have been hit
One man down we need backup I repeat we need backup, Do you copy?
over!
Alpha 1 this is delta 2, backup take the girls down unleash the bazooka show no mercy i repeat show no mercy...
Sijui kwann watumishi mnapenda sana kuamini stori za ajabuajabu. Mkuu karne hii watu wanafanya tu mambo yao hawaelewi hizo habari zenu za mungu sijui kafanyaje ,hemu fikiria miaka hiyo watu walikuwa wanaamini ukijenga majengo marefu sana ni kumjaribu mungu ila angalia sahv sio tu kujenga majengo...
Naona stori zimekua nyingi ila uzuri ni kwamba kwenye sayansi hamnaga blah blah fact unazozitaka nimekuwekea hapo chini na nimejaribu kuandika kwa lugha nyepesi ili upate kuelewa kiurahisi nimeanzia jinsi gani chombo kinatoka duniani mpaka kinavyofika huko kwenye sayari ya mars na kama...
Nimesimuliwa wapi mkuu kwani umesikia hiyo ni history, sayansi mzee haisimuliwi tu hivihivi lazima uje na proven facts with mathematical formula ndio utaeleweka yani ningekuona unamuelekeo flani hivi wa sayansi ningekupigia lecturer ya rocket science na orbital mechanics nikuonyeshe ni jinsi...
Wanafunzi wenyewe bangi tupu siku hizi, na wale wakike kwa umalaya ndio usiseme hapa kitaa sahv kuna kitoto cha form 3 kanalazimisha kuja geto eti anasema anataka kuja kunipikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.