Duh hapa sijui msaada gani wa kisheria unataka mkuu, Badilisha heading iwe 'MSAADA JINSI YA KUFANYA DENI LIPOTEE JUU KWA JUU" ila dawa ya deni ni kulipa tu
Habari wakuu, title inajieleza,
Spec RAM kuanzia 4Gb
Hdd kuanzia 500Gb
Processor 2.4 Ghz
Battery iwe inakaa na charge
Hata kama ni Used lakini iwe kwenye condition nzuri..!
Hela iko mfuko wa shati, karibuni
Habarini za wakati huu,
Nmekuwa nikicheza Pes for Pc kwa muda mrefu sana lakini je ni kwanini player akiwa HOME anakuwa na nguvu, speed na accuracy sana?
Kuna jamaa nikicheza nae ikiwa yeye akiwa HOME ananifunga sana bila ya mimi kupata hata goli moja na ikiwa na mimi niko HOME namfunga mogoli...
Habarini za wakati huu wana jukwaa, leo asubuhi nmetumiwa email na hawa Hunger Aid in Africa lakin wameniagiza nitafute PAR certification , Nmejaribu kufuatilia nmeona ni email ileile ambayo imekuw ikitumwa kwa watu tofaut tofaut kwa muda mref sasa, je kuna mtu ana taarifa juu ya hawa watu au ni...
Kwa mara ya kwanza leo nmewashuhudia invigilators wanacheka , Co poa interview zingine unakuta addition pepa zinaaombwa hadi unashangaa bt leo, utafikir tulikuw tumepewa True or False questions wakati ilikuw ni full maelezo..!
Binafsi mtihan umenitoa jasho coz nlizama sana kusom mambo ya...
Habarin wanajukwaa, Nahitaji laptop aina ya Hp au Dell kwa matumizi ya ofic, sifa betri iwe inakaa na chaj, hdd haimati kabsa..!
Bajeti yangu ni sh laki 3.5 - 4 kamil
Napatikana Dar es salaam
Natafuta series zifuatazo kwa yeyote mwenye ako nayo yoyote kati ya hizi anisaidie..![emoji440]
24
Breaking bad
Homeland
The widow
Lost
Money heist
Narcos
House of Cards
Hanna na
The wire..!
Pia nina series kali kwa yeyote atakaehitaji ambazo ni full Hd na pia nying ni Complete kama
Game of...
Habari zenu wanajukwaa,
Hiyo buti inauzwa ni size 45 na haijawah valiwa kabisa (Mpya)..!
Niko Dar es salaam kwa yeyote atakae kuwa interested
Price : 50,000/=
Sawa unafanya biashara lakn nafikir n bora ungeanza kwa kuelezea ubora na ingredients znazoyafany hayo mafta kuw special kuliko kuelezea baadh ya makilio mbalmbl ambay umeshakutana nayo
Nawsilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.