Shirika la ACTION FOR CHILDREN la jijini Arusha limeanzisha mradi wa kugawa pedi kwa wanafunzi wa kike wa shule nne za msingi ktk jiji la hilo! baadhi ya shule ni Ngaramtoni,Engosengeu na Seliani.
Watoto wanavunja ungo wakiwa wadogo kweli siku hizi.
Nyie waajiriwa wenzangu mwaka wa fedha{kiserikali} umeisha jana na leo 1 july tumeunza mwaka mpya.
popote ulipoajiriwa jiulize mwajiri wako anapokulipa mshahara anakusudia ukaufanyie nini.
Binti Mwanaidi Vuai Salehe amelazwa ktk Hospitali ya jeshi Bububu Zanzibar kwa miezi minne sasa anauguza majeraha ya ajali ya moto.
Hali yake inazidi kua mbaya na anahitajika Tsh Milion 15 aweze kupelekwa India.
Kama uko tayari kumsaidia
A/c 051206007686 PBZ-Malindi.
0773599466-mama yake...
Jiji la Dar es Salam lina jumla ya bar 692 zilozopewa leseni halali kuuza pombe.
Chukulia kila bar inapata wateja 20 tu kwa siku ina maana ndani ya Dar kila siku kuna walevi 13,840.
Kijana aliebeba rasket(begi mgongoni) akiwa ktk bodaboda alinaswa na kuvutiwa uvunguni mwa roli walilokua wanaovatek.
Begi ndo lilisababisha avutwe baada ya kunasa.
Kijana Francis Martin mkazi wa Kawe amekamatwa akiwa awevaa sare za Jwtz na cheo cha luteni.
Akihojiwa ktk mikono ya polisi amejitetea kua sare hizo ni za kaka yake anaeitwa Benedict Martin anaefanya kazi 36kj Kibaha.
Kilichomponza ni kumpigia salute askari alie na cheo chini ya alichovaa...
Ni ktk Wilaya ya Morgogoro vijijini kijana mmoja amefariki dunia baada ya kuingiwa na samaki mdomoni baada ya kumvua.
IMANI ya ushirikini inahusishwa na tukio hilo.
Nimesoma vitabu vya dini za Uislam na Ukristo sijaona sehemu inayoelekeza tujenge vituo vya kulea watoto yatima,bali tunaelekezwa namna ambavyo tunaweza kuwalea mayatima ktk majumba yetu na kuwapa malezi bora,kuwapenda,kuwajali,tusiwadhulumu,kuwaweka ktk mazingira mazuri ili waweze kuondokewa na...
Nashangaa mtu anapokoment kwa kuandika haha haaaaa ha haa eti amefurahia jambo anacheka.
Kitaalamu furaha ama kicheko,huzuni ama kilio ni matendo ya hisia haiwezekani kufanywa kwa kuandikwa.
Kamata,kamata,mshike mshike imeanza ktk jiji la Arusha na mitaa yake baada ya polisi kuruta toka CCP Moshi kuingizwa mitaani na kufundishwa kazi kwa vitendo.
Baba yangu mzazi ahsante kwa kushiriki ktk mchakato wa kuniletea hapa duniani.
LAKINI baba kweli ulishindwa kabisa kupata nafasi yoyote ndani chama na serikari nami nikaitwa mtoto wa kigogo ktk nchi hii?
Kama elimu ya wastani unayo!
Kama porojo za kisiasa unazo!
Inaniuma sana kila...
Ni ktk hospitali ya mkoa Mt.Meru Arusha,asubuhi na mapema wainjilisti na waombezi wanajazana ktk wodi za wagonjwa kelele tupu,uongozi wa hospitali uliangalie vyema hili ni usumbufu kwa wagonjwa.
Kufuatia hotuba ya Jk ya jana.
Leo naamka nakuta bonge la Tangazo.
Kupanda kwa kodi ya nyumba
Single tsh 40,000/=
double tsh 70,000/=
inaanza trh 1 June,
Hongereni mnaoishi kwenye nyumba zenu.
Matumizi ya mara kwa mara ya toilet paper baada ya kujisaidia hupelekea kukatika kwa vinyweleo vya maeneo ya siri.JKT hawapokei watu wa namna hiyo kwa kuhisi kwamba njia imeshachezewa.
Chukua tahadhari
Nimejaribu kugoogle,kusoma articles tofauti nimeona kuna maelezo tofauti kuhusu window period
kati ya wiki 8 hadi miezi 3 na kati ya wiki 8 hadi miezi 6.
Wataalam ipi ndo sahihi nataka kufunga ndoa kule tulikopima mwanzo imeshapita miezi mitatu,sasa sijui nifunge ndoa au nisubiri hadi hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.