Nilidhani utetezi tu wa madereva waliokuwa wanadai wanatozwa faini kwa kosa la mwendo kasi Over 50 Km/hr maeneo yenye tahadhari hii.
Nikaona siku moja katika safari yangu nijionee, nilipo fika Mdaula eneo lenye maelekezo hayo nikapunguza mwendo mara gafla tokea ichakani akajitokeza afande...
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imefanya ubabaishaji katika mchakato wa kupata wanaostaili kufanya kazi ya BVR baada ya kutoa tangazo la nafasi ya kazi hii kinyemela na kutoelekeza waombaji kuambatanisha vyeti vyao vya it kama halmashauri nyingine zilivyo fanya.
Hili limepelekea kuwaacha watu...
ameongea vizuri, hasa aliposema watz wanaangalia mtu sio chama, ukiweka mtu safi hutapata kazi kumnadi wakati wa kampeni. ni kazi kuanza kumsafisha mtu kisha uanze kunadi sera za chama.
mil 49! si mchezo kama ni kweli hiyo pesa ni halali kumdai basi dua itajibu lakini kama kuna mazingira ya dhuluma, uongo na chembechembe za kujinufaisha. potezea shekhe!
:smow::smow:MASUALA YA KITAIFA SI YA WAZEE WA CCM DAR, HEBU RAISI AJIFUNZE KUACHANA NA UTENDAJI WA KIMAZOWEA SIKUHIZI NI UTARATIBU:msela::msela::msela:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.