Habari wakuu, Nina plan ya kuanzisha mradi wa kufuga nguruwe, mbuzi na kuku wa kienyeji, Niko dodoma, nahitaji kijana mwamininfu mwenye taaluma ya mifugo at least certificate level, awe mvumilivu (not too demanding) mwamininfu ambaye atakuwa anaishi hapo hapo, gharama za chakula na matibabu ya...
Wadau kuna mtu aliniambia unaweza kununua engine ya 4cylinders na gear box yake ukaweka kwenye gari ya 6cylinders mfano mark ivi gx 110, je inawezekana? Msaada tutani
Nilikuwa naskiliza kipindi chao cha michezo muda si mrefu(clouds FM) mchambuzi amesema kuwa Libya wanacheza na South Sudan leo na kutoa uchambuzi mrefu tu kuhusu huo mchezo! Mbona ratiba ya CAF inaonesha Libya wanacheza na South Africa leo? Nimesikiliza muda sijasikia masahihisho yoyote, ina...
Wadau nimeingia dar kwa Mara ya kwanza tangu July Mwaka huu, nimezoea kuona madege makubwa yakipaa angani na kutua, tangu saa kumi hadi sasa ivi nimeshuhudia ndege moja tu angani, kuna mabadiliko gani? Kwa anayejua anijuze, ingependeza mwenye data vzr akatufafanulia. Kwangu mm haya ni maajabu...
Wadau naomba anayejua anisaidie. Redio ya gari langu kuna muda inatoa mlio mkali kama mluzi nalazimika kuizima. Tatizo ni nini? Kama vile kuna mwingiliano wa mawimbi au cjui nn.
Wadau kuna rafk yangu kaniambia anahitaji rim sports za hard top cruiser Dodoma au singida, je atapata kwa sh ngapi kwa pc moja? Zinahitajika za chuma siyo aluminum
Wadau, Niko morogoro nakaribia kufanya maamuzi magumu ya kununua gari. Kati ya hizo gari naomba mnishauri ni IPI nzuri? Kuhusu ulaji wa Mafuta najua zinafanana ni cc 2500
Ukiangalia hayo majina colum ya mwisho inasema matokeo hayajakamilika (results -incomplete), je, ni matokeo ya chuo walichosoma au la? Naomba anayejua anifahamishe
kama umesoma masomo ya transport na uko mikoa ya kanda ya ziwa, magharibi au kati. au kamautaweza kutoka mkoa wowote ukafanye kaz kanda hizo, kuna halmashauri unaweza kupata kaz ya mkataba then uingie kwn ajira ya kudumu. inbox for more details
Kuna network mpya ya simu inasomeka pale unaposearch available networks kwani simu inaitwa Hits tena ina 3G internet. Hii nimeiona Moshi, Tanga, Pwani, Morogoro na Dodoma (haya ni maeneo niliyopita). Je, ni vietel wameanza kwa staili hyo au? Anayejua atujuze.
Wataalam naomba mnisaidie.
Kuna ndugu yangu amegundulika na tatizo la Amoebiasis akaandikiwa Flagyl akaanza kutumia.
Siku ya pili akaanza kusikia tumbo linavuruga huku anajisaidia choo chenye rangi nyeusi, ni siku ya pili sasa.
Msaada tafadhali.
Hii shule kongwe imefungwa jana kwa sababu tajwa hapo juu. mbaya zaidi ina form 6 watakaofanya mitihani may. kwa anayejua zaidi karibu.
Source: mwalimu anayefundisha hapo.
Hali ni mbaya kwa kweli
Wadau, kuna mtu anatafuta shamba lenye ukubwa kuanzia eka 500 hadi 1000 mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida kwa ajili ya kilimo kikubwa cha nafaka hasa mahindi. Liwe maeneo yasiyokuwa na migogoro, kusiwe na ukame sana, kunakofikika halafu maeneo yanayoweza kuchimbwa kisima kwa ajili ya...
Naomba kuuliza. kama mtu amefanya kaz ya kuajiriwa kwa mkataba wa kudumu akijitoa baada ya kufanya kaz kwa miaka mitano anaweza kupata mafao yake toka LAPF? kama akisitisha mkataba na mshahara wa 850,000 gross atapata sh ngapi?
Ni zaidi ya miaka 50 tangu tujitawale wenyewe. nimetafakari sana kuhusu hali ya miundombinu ya shule kongwe za sekondari za serikali ilivyokuwa mbaya kwa sasa. hizi shule tumezirithi toka kwa wakoloni lakini zilikuwa full(madarasa,maabara,maktaba,nyumba za staff kuanzia headmasters/mistress hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.