Dada Ester Mb,
Asante kwa taarifa,lakini mbona huelekei kama umjasiriamali?.au ndiyo shule Imekolea? :nono:.Usilazimishe watanzania wengine kuacha kazi kwenye taasisi za umma.Nyinyi mkipewa madaraka mtanyima haki za watu,ili muendelee kula.yaleyale ya ccm,wakati wa uchaguzi ndugu,wakipata.mhmhmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.