Majini mahaba yanachangia mimba kutoka kwakuwa mwaka ni mganga ndio mana kaweza kumtibu huyo anatumia dawa za kisunnah hana tofauti na darasa anazotoa mzizimkavu kwikwi kwi
Habari zenu,natumia simu ya startimes planet 5,ni miezi mitano toka niinunue ila sasa hivi display inakwama kwama hlf kudownload vitu inachukua muda mrefu ipo slow,youtube ndio kabisa video hazifunguki hata niweke bando kubwa,naombeni msaada
Huu ugonjwa ulipata mdogo wangu akachanjwa kidole na kutiwa hayo maji ya betri ni km alichokoza vile usiku hakulala, kesho yake akapelekwa hospital wakampa cloxacillin na declofenac lakini hazikumsaidia chochote.
Baada ya siku mbili akapelekwa hosptal nyingine kule walimpasua...
Inawezekana kipindi cha nyuma alikuwa anaswali,ila hizi sijda zinategemea na ngozi ya mtu mwengine wiki moja tu imeshatoka wengine wanaswali miaka na miaka hawana sijda na pia mahali unaposujudia kama unasujudia sehemu ngumu lazima itoke mapema.
Mkuu umenichekesha hivi prof j ni muislam?ama mm ndio sijui?hlf ni sajda gani inayokaa kichwani badala kwenye paji la uso kwa upande wa t.i.d hiyo picha ni zamani nafikiri alikuwa anaswali kipindi cha nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.