Search results

  1. remest1

    Sio CCM, Sio Rais Samia wala TANESCO wanaleta mvua, Umeme wetu ni Hydroelectric power tuvumilie inyeshe

    Kwanini tuendelee kutumia vyanzo vya maji wkati kuna jua kuna upepo na kuna gesi tuna nyukilia pia viongozi walioko madarakani hawana nia yakutatua matatizo ya watanzania ili waendelww kuwepo katika nyadhifa zao
  2. remest1

    Mwigulu: Tumesikia malalamiko ya Watanzania kuhusu tozo za miamala na Rais ametoa maelekezo ya kuzitazama upya

    Vipi kwani mpango wake wa kuinject trilion 5 umeshindikana au hizo trilion hazipo Tena hii serikali ina watu wa hovyo sana yaani wenye kujijali n akujali maslahi yao tu.
  3. remest1

    Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

    huyu ndie mtu aliekuwa akitangaza nia ya kugombea uraisi tuna raisi mchumi tuna makamu wake tunawaziri pia alafu mwisho wasiku wanakuja na mawazo mufilisi kama haya juu ya namna ya kumuibia mwananchi ukiangalia hizo nchi jirani anazozungumzi kwenye uuzji wa mafuta kuongeza sh mia vip rea sjui...
  4. remest1

    Vodacom mbona hamuweki option ya kuongea na customer care?

    Vodacom ni trush kila siku huwa nawambia na wanatabi aya kumuunga mtu na huduma alizojitoa zaid ya mara tatu yaani mtu ulalamikie tatizo wakuondoe baada ya masaa mawili ukiweka salio wana kukata tenaaa ukiuliza unambiwa ulijiunga nimesumbuana nao sana hivi sasa line yao ni marehemu wanakwambia...
  5. remest1

    Nimeanza kulewa kwasababu nimemchoka mume wangu tangu alipofilisika

    wanauliza ana kazi gani au anajishughulisha na nin kwani wana hitaji mtu mwenye uwezo wakuimudu familia yake ila changamoto kubwa siku hizi hzta kazi tulizonazo haziwatoshelezi vipi tutaweza mudu familia kwa ujumla wake na maranyingi mambo hayo huwakumba wanawake waliotegemezi na mara chache...
  6. remest1

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

    kwani mwenda zake alipo zindu kwa mara nyingine hizo changamoto hakuzipewa?
  7. remest1

    Mufti Zubeir: Kuna mijitu ilikuwa na kesi za Uhujumu Uchumi, huruma ya Magufuli ikawataka warudishe walizoiba

    Unapotaka kuwa na mitazamo yako ni lazima ujiondoe kwanza kwenye mamlaka yako na uelezee maoni binafsi ila unapokuwa na kofia inayokubeba unaaminiwa kwamba ni maoni ya watu unaowaongoza na sio mitazamo binafsi
  8. remest1

    Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    aaahhhh kumbe basi sawa waendlee na propaganda za nyungu maisha yaende mbele
  9. remest1

    Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    natangia mwenda zake ameondoka hakuna kampeni za nyung sio kwa viongozi wenye mamlaka hata waimba mapambio wa kipindi hicho saiz wakipigia kampeni njia za kisasa
  10. remest1

    Kwanini niliacha kuwa "MATAGA" enzi za Dkt. Magufuli

    hata kwenye kundi la wanyama ukimuondoa alfa katika kundi ni ngumu sana kuwa na muunganiko kwa hawa wadoo itawachukuwa muda mrefu kuunda mbinu na kuandaa kiongozi mpya wa kundi na wakai mwingine ndo huwa ina kuwa ni mwisho wa hyo regime
  11. remest1

    Yaliyojiri: Kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Magufuli na kuwabariki Rais Samia na Mwinyi

    sikuona kongamano kwa hayati Ben ila kwa huyu haraka na mapema kutuaminisha kuishi katika legacy yake hawajui kila zama na vitabu vyake tyr kitabu kile kimesha fungwa tuanze kuhesabu kurasa mpya
  12. remest1

    Maamuzi ya Serikali kuhamia Dodoma yalitawaliwa na ukurupukaji mkubwa

    Tulimezeshwa kuwa ukanda utatugawa hivo wakaon watugawe kisiasa.
  13. remest1

    Mufti Zubeir: Kuna mijitu ilikuwa na kesi za Uhujumu Uchumi, huruma ya Magufuli ikawataka warudishe walizoiba

    Mapambio hayawezi kauka hasa katika swala la kupigania kikombe chako na mkate wako mezani usikauke viongozi wadini walikuwa wa ndimi mbili na wako waliokemea maovu nakuonekana wazalendo tuwe makini na viongozi wetu wa dini has katika nyakati hizi za mwisho kila ataekuja kwa kimvuli cha dini...
  14. remest1

    Muwe Makini Mtandao wa Halotel kinachofanyaka ni wizi

    voda nao wale wale nimejiunga kifurushi cha dk 30 kilichonikuta nimeongea dk chache nikatumiwa ujumbe kifurushi chako kimekwisha hii mitandao sasa wanajichumia wawezavyo
  15. remest1

    Malalamiko ya Wananchi kuhusu mabadiliko na gharama za vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo mwaka 2021

    Wanavifurushi nafuu ila sasa huo mtandao utajua utakapo upatia
  16. remest1

    Nembo ya WHO ni tatanishi?

    Kaangalie na hospitali kule moshi pia ipo na karibu kufanana
  17. remest1

    Anaandika Zuhura Yunus wa BBC

    Unasemaa
  18. remest1

    Hivi kuna waliotumwa na Rais kuchunguza kitu wakaja na matokeo chanya?

    yasije kuwa kama yale ya makinikia na ndoto za noah ambazo hta ist imeshindikan hadi leo
Back
Top Bottom