Kwako Mh. Dr John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kwanza nakupongeza kwa mema unayoyafanya. Hivi karibuni umefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa na kufanya mabadiliko ya Makatibu Wakuu wa Wizara mabalimbali. Moja ya wizara zilizopata mabadiliko ni wizara kilimo. Kwenye...
Kuna minongono mingi sana juu ya vibali hivi vya kusafiri nje nchi vinavyotolewa na ikulu vinachelewa sana au pengine havitoki.Unakuta mtu umeomba kibali mwezi mzima, lakini mpaka siku ya safari kibali hakitoki. Kwa dhana JPM ya kupunguza urasimu, hii ya vibali toka ikulu haijakaa vizuri...
Wakuu heshima mbele,
Naomba kama kuna mtu anaweza kunipostia hapa picha zinazoonyesha athari za uchimbaji wa madini Tanzania. Mfano kama una picha za athari za maji ya sumu ya mto tigiti, Bulyankulu, etc. Vilevile picha za nyumba za wenyeji wanaozunguka machimbo hayo zitafaa.
Thanks
wakuu wa kazi, juzi mzumbe walikaririwa na vyombo vya habari wakimtunuka nchimbi phd. Ieleweke kuwa kwa muda mrefu huyu jamaa amekuwa akiitwa doctor kumbe hana phd. Kama hali imefikia hivi hatuoni kuwa Tanzania tumefika kubaya? Mtu anajiita dr wakati he doesnt have such qualification. Na hata...
Wakuu naomba mabalozi wa Libya na Palestina watoe kauli kuhusiana na tuhuma hizi za Mukama kuwa Chadema ilitrain/kupata makomandoo kutoka katika hizi nchi. Najua hatuna balozi wa afghanistan hapa, but we have libyan and Palestinian. Pia usalama wa taifa, jwtz na polisi wambane mukama...
6th June 2011
Hakuna nyumba za kuwapa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha.
Ule ukwapuaji wa nyumba za serikali zilizokuwa rasmi kwa makazi ya watumishi wa umma bado unaendelea kuigharimu serikali kwa maofisa wake kukaa hotelini kwa kipindi kirefu...
Wanajanvi. Ile press conference ya sumaye imekuja na mapya gani. Wenye data mtujuze please. Inasemekana Jk ndiye kinara wa kuwatumia hawa wakora kuwashambulia wastaafu wanaojaribu kuonyesha njia namna nchi inavypswa kuongozwa. Hawa wastaafu wanamkosesha mkulu usingizi na akaamua kumtumia mwanaye...
5 signs shes into you
You and a pretty redhead are tucked away in a corner table at that impossible-to-get-into new French bistro. And lo and behold, you notice shes laughing at your jokes, twirling her hair, and giving other crystal-clear signs shes into you. Or is she? Problem is, it...
Wakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa kuliambia bunge kuwa mh lema sasa atatakiwa kujitetea kimaandishi na siyo kuhutubia bungeni kama...
Wakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa kuliambia bunge kuwa mh lema sasa atatakiwa kujitetea kimaandishi na siyo kuhutubia bungeni kama...
Habari zeni
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.
Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini...
Miradi ya maendeleo, ahadi za JK zakwama
na Betty Kangonga
SERIKALI inakabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha uliotokana na matumizi mabaya yasiyo na tija pamoja na misamaha holela ya kodi iliyosababisha kushuka kwa kiwango cha ukusanyaji wa mapato, Tanzania Daima Jumatano limebaini...
Sumiati Binti Sala Mustapa akiwa katika hospitali ya Mfalme Fahdi mjini Madina alipolazwa.
MFANYAKAZI wa ndani raia wa Indonesia, aliyekuwa akifanya kazi katika nyumba moja nchini Saudi Arabia, amelazwa hospitali katika chumba cha watu mahututi baada ya kukatwa sehemu ya mdomo wake na...
We all know money doesn't buy happiness--and that's good news for these new grads.
There's no denying the value of a college education: According to recent U.S. Census surveys, the median salary for college grads is more than $20,000 higher than that of people with only a high school diploma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.