Search results

  1. N

    Je, mbinu inayotumiwa na CCM kwa kipindi hiki ya kukaa kimya itakisaidia chama hicho?

    Haaa. Watu mna mambo[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji95][emoji95]. Eti siyo mataga
  2. N

    Uchaguzi 2020 Bernard Membe hana kabisa mvuto!

    Jamaa unafurahisha
  3. N

    Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

    mhh jamani[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji115]
  4. N

    Kaimu Mkurugenzi Wilaya ya Rufiji aliyemdanganya Rais atupwa Lupango

    Umesema vizuri. Gari kukosa matairi ni issue kubwa..ndiyo ubovu wenyewe huo. Kama halmashauri haina pesa za kununulia hayo matairi asemeje sasa. Jamaa mchonganishi sana.
  5. N

    Rais Magufuli aubadilisha jina uwanja wa Taifa, Rasmi kuitwa "Mkapa stadium"

    Benjamin Wiliam Mkapa (BWM) Stadium sounds great..
  6. N

    Mambo 20 usiyoyajua kuhusu Rais John Pombe Joseph Magufuli

    Waache kwa uongo wa mahaba....
  7. N

    Magufuli versus Tundu Lissu; yupi unamwamini kwenye sakata la makinikia?

    Mkuu let us wait a little while before you make such a sweeping generalization.
  8. N

    Mjadala: Magari ya viongozi wetu na dhana ya kubana matumizi

    Mkuu Umesahau na MAGOROFA aka MABUGANDO
  9. N

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Nsuzu Bilonkwanamagara
  10. N

    Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

    You..of small brain..you discuss nonsense..Give us break please
  11. N

    Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?

    Mkuu hapo hakuna faida..ni uzandiki tuu wa miafrika. Ni aibu kungangania vitu visivyokuwa na maana na kuacha kufanya vitu vya maana. Mwenge ni kati vitu vya kipuuzi ambavyo serikali hii ya ccm inavitumia kuwaibia watanzania, ni miradi ya wanaccm. Bahati mbaya hata wananchi wenyewe hawafahamu...
  12. N

    Ongelea vitu siyo watu

    Weka Vyeti Hacha Maneno: Bashite
  13. N

    Vipaumbele vya bajeti mwaka wa fedha 2017/2018 vitabadilisha maisha ya Watanzania?

    Mkuu Mipango ya Serikali iko wapi mpaka kila mwaka inakuja na vipaumbele vipya vikubwa? Kila mwaka serikali inabadilisha vipaumbele. Kama mtindo ni huu subiri mwakani vipaumbele vitabadilika. Kwanini serikali isiwe na comprehensive programs za kutimiza muda mrefu. Hizi program ziwe agenda za...
  14. N

    Ndalichako, Msonde, Wizara ya elimu na Necta tegueni kitendawili cha elimu ya Makonda

    Usomi kwenye serikali hii brother!!! forget it. Unapoteuliwa kama Prof. jua kwamba utafanya kazi kama mtu asiyesoma hata kwa ngazi ya chekechea tu, because there is no such rooms to things like educated person and critical thinking. The fear of loosing their positions/jobs and food devours our...
  15. N

    Neno La Leo: Tumeibiwa Kiasi Cha Kutosha, Watuache Na Mchanga Wetu..!

    Dear Maggid, Greetings!! Naomba unijibu maswali yafuatayo: 1. Ni nani au serikali gani iliyosababisha hayo? 2. Je wakati Zitto anaitwa "Kansa" uliwahi kuandika kuhusu uporaji aliokuwa akiupinga Zitto? 3. Je ni serikali gani umekuwa ukiitetea katika maisha yako? Ni hii serikali ya "mcc"...
Back
Top Bottom