Umesema vizuri. Gari kukosa matairi ni issue kubwa..ndiyo ubovu wenyewe huo. Kama halmashauri haina pesa za kununulia hayo matairi asemeje sasa. Jamaa mchonganishi sana.
Mkuu hapo hakuna faida..ni uzandiki tuu wa miafrika. Ni aibu kungangania vitu visivyokuwa na maana na kuacha kufanya vitu vya maana. Mwenge ni kati vitu vya kipuuzi ambavyo serikali hii ya ccm inavitumia kuwaibia watanzania, ni miradi ya wanaccm. Bahati mbaya hata wananchi wenyewe hawafahamu...
Mkuu Mipango ya Serikali iko wapi mpaka kila mwaka inakuja na vipaumbele vipya vikubwa? Kila mwaka serikali inabadilisha vipaumbele. Kama mtindo ni huu subiri mwakani vipaumbele vitabadilika. Kwanini serikali isiwe na comprehensive programs za kutimiza muda mrefu. Hizi program ziwe agenda za...
Usomi kwenye serikali hii brother!!! forget it. Unapoteuliwa kama Prof. jua kwamba utafanya kazi kama mtu asiyesoma hata kwa ngazi ya chekechea tu, because there is no such rooms to things like educated person and critical thinking. The fear of loosing their positions/jobs and food devours our...
Dear Maggid,
Greetings!!
Naomba unijibu maswali yafuatayo:
1. Ni nani au serikali gani iliyosababisha hayo?
2. Je wakati Zitto anaitwa "Kansa" uliwahi kuandika kuhusu uporaji aliokuwa akiupinga Zitto?
3. Je ni serikali gani umekuwa ukiitetea katika maisha yako? Ni hii serikali ya "mcc"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.