Wanajukwaa wazima?
Mi mzima nauliza kama ulifaulu NABE |,NABE || na NABE |||.Pia una vyeti vyote vitatu.na O level ulisoma commerce na bookkeeping ukaifaulu vizuri ,pia A level ukawa umesoma ECA na kufaulu vizuri pia.Je kwa vigezo hivo ukienda kufanya CPA(T) unaanzia hatua (level) ipi?
Wakubwa shikamooni!!
Wanajamvi naleta huu uzi mwenye kujua hii course ya B.A.Economics ya UDSM anieleze ina opportunity zipi za kazi kwa sababu mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na nimepata div. One na nataka nifahamu kuhusu hiyo course na wapi ntakuwa nafanya field kama ntakuwa nimesoma...
Ilo ni bweni mojawapo la kidato cha tano hapo kibaha boys.
Kwanza nipende kuwapa pongezi sana kwa kuchaguliwa special school.Cha msingi mkifika hapo shule ni kuanza kusoma kwa bidii(msuli) kwa sababu ushindani uliopo pale ni mkali sana ....Usishangae ulikuwa unakimbiza(unaongoza) huko O level...
Tulipokuwa Wadogo,ukienda Kucheza Mbali Na Nyumbani Kidogo Hasa Hasa Mpira Wa Miguu, Mtaa Kwa Mtaa.Ukichelewa Kurudi Nyumbani Tayari Jua Limekwishazama,hapa Kuna Ka-jua Fulani Ka Mwisho Mwisho Hivi Kalikuwa Kanatudanganya Wengi,yani Jua Kama Linachomoza Hivi Kumbe Ndo Linazama,si Tulikuwa...
Kwa wale wote form six waliomaliza mwaka huu na hawajaenda JKT tukutane hapa tubadilishane mawazo.......unataja kombi uliyosoma ....pamoja na shule.......mi KIBAHA BOYS(ECA)
Haya twende sasa..........
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha 6 (ECA) ,na nategemea kwenda chuo kusomea ualimu wa economics...kama Mungu atajalia matokeo yakatoka vizuri. pia chuo ninachopenda ni UDSM ....vp ni faculty gani nisome? na sio kwamba nataka kusoma education pure. Mungu akijalia nisome tena M.A...
hii namba 0600900,inanipigia kila siku saa 11 alfajiri kwenye namba yangu ya tigo,leo ni siku ya pili sasa,sa vipi niipokee au?Ila nshasikia ni namba za freemason eti? Eti ukipokea waweza kufa hapo hapo ,naomben mawazo yenu
ETI NI KWEL POST ZA KWENDA KIDATO CHA TANO ZIKO KARBU KUTOKA?
na ni jinsi gan wizara ya elimu inafanya selection.wanatumia wakuu wa shule au computer ndo zinachagua electronically,nijuze wana-jf
mi nilitaka kujua ni vitabu gan ni vizur kutumia advance kwenye hiki kipindi kwani vitabu vingne vpo ila havko relevant na mtaala wa advance ,nisaidieni kama ukinipatia title na mtunz wa hicho kitabu itakuwa poa,mi naijua FRANKWOOD TWO japo haina topic zote
asee kuna vijana wa tamaduni music chini ya mpishi DUKE,yan hawa vijana nawakubali sana,hasa hasa SONGA NA MOKO WA MIUJIZA kwan licha ya kutoa burudan ,wanatoa elimu pia.
HIP HOP,TAMADUNI MUZIK 4EVER,we unamkubal nan hapo tamaduni
hodi hodi humu..!
mi naitwa patience pb rutta wa bukoba nilikuwa naomba tuwe wote,mi nimemalza kidato cha nne nategemea kwenda cha 5 mwezi wa 7,FOR SURE JAMII FORUM IS A PLACE TO BE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.