Heshima kwenu wana JF!
Nina dogo amaemaliza form six na kupata Div 2 ya point 11 na alisoma PCB malengo yake aliomba Bsc in Medicine,Bsc in Laboratory na Bsc in Nursing lakini zote amekosa na amechaguliwa SUA kuchukua Bsc in Wildlife Management.
Sasa swali langu kwenu VP hii Bachelor ipo vizuri...
Namiliki line ya airtel toka ikiitwa Celtel ikaja Zain na kwa sasa airtel.
Lilipokuja zoezi la kusajili nilisajili Ila baada ya muda niliambiwa laini yangu haijasaliwa, nikaamua kufanya usajili mara ya pili tena kwa kulipia hela nikadhibitisha kuwa nimesajiliwa kupitia number maalum.
Juzi juzi...
Siku za hivi karibuni Azam Tv wamekuwa hawarushi taarifa ya habari ya saa mbili usiku kwa kisingizio kuwa ni sababu zilizo nje ya uwezo wao.
Lakini baadae wameanza kutwambia wateja wao tuingalie Azam news via Azam app kwa wenye smart phone.
Jambo hili binafsi linanichanganya, inawezekanaje...
Heshima kwenu mafundi na wana JF wrote!
Hapa kwangu nina tatizo la kuta za nyumba yangu kupukutika rangi sehemu za chini nimerudishia rangi lakini baada ya mwaka tatizo linajirudia .
Naomba ushauri wa kiufundi kama kuna rangi special au namna yoyote ninayoweza kufanya kutibu hali hii
Hivi karibuni tumeshuhudia kutekelezwa kwa agizo la mkuu wa nchi la kuwaruhusu TANESCO Kukata huduma za umeme katika taasisi za umma zenye madeni sugu ambapo kule Arusha Jeshi la Polisi na Hospitali za serikali wamekatiwa umeme.
Binafsi naona wanaoumia kutokana na kadhia hii sio wale...
Kufuatia TCRA kuzitoza faini ya Tsh 600 million kampuni Kadhaa zinazotoa huduma za mawasiliano kwa kosa la kutoa huduma chini ya kiwango nimejikuta najiuliza maswali yafuatayo?
1.Sisi walaji (watumiaji wa mtandao ya simu na mawasiliano kwa ujumla) ndio tumeathirika kwa kukosa huduma sahihi na...
Nina laptop yangu ilikuja na window 7 starter kila mara ninapokuwa nafanya shughuli zangu in a display massage hiyo hapo chini Niki cancell inarudi tena na tena nikibonyeza continue bado inarudi nikaona nitoe window niirudishe tena bado msg ni ileile
Naomba msaada kwa anayefahamu namna ya...
Leo katika kipindi cha yasemavyo magazeti kinachorushwa na Radio Free Africa mtangazaji Najma Abdallah aliisoma habari inayosema "IFM waionya Tanzania" nijuavyo mimi IFM ni Chuo cha usimamizi wa fedha nikasubiri asome kwa undani lakini akaendelea kutaja kuwa IFM ni shirika la fedha duniani...
Baada ya kundoka Mzee Masako nilijiuliza ni nani atavaa viatu vyake katika kipindi cha Kipimajoto.
Lakini kwa muda mfupi ambao umeendesha kipindi hiki umekitendea haki kwa 100% na umekiendesha kwa umahiri mkubwa hasa kwa vipindi viwili vilivyopita kuhudu Fao la kujitoa na Maafa ya Kagera...
Akiongea kwenye hafla ya utoaji vyandarua kwa wanafunzi Mkuu wa wilaya ya Geita Mwl Kapufi amewaamuru askari polisi na vyombo vingine vya dola kumkamata mtu yoyote atayekutwa ametumia chandarua kuzungishia bustani ama kufunikia vifaranga.
Wasi wasi wangu ni kuwa sioni kosa kisheria kwa mtu...
Habari wadau?
Nina Laptop yangu ambayo nilikuwa naitumia kwa shughuli mbalimbali nashangaa kwa sasa imegoma kupata internet japo nikiunganisha modem inaconnect vizuri na speed inakuwa poa tu lakini haifungui web yoyote
Nimjaribu troubleshooting zote ikagoma nikapiga window chini nikaiweka upya...
Jana Clouds TV wakitangaza taarifa ya habari ya saa 2:00 usiku waliandika jina la rais wa JMT walimwandika kama JOHN PIMBE MAGUFULI hili ni kosa dogo la kiuandishi lakini wahariri hii ni aibu kwenu kulikosea jina la Rais kuanzia mwanzo wa taarifa mpaka mwisho jirekebisheni.
Heshima kwenu wakuu
Nina Music System aina ya Sony toleo la zamani ambazo hazina usb port ila inacheza tape za kawaida na dvd
Nauliza kama naweza kupata fundi wa kuimodify kwa kuiwekea usb port japo ya mp3 mimi nipo Mwanza.
Waungwana mtoto wangu wa miaka 6 amemeza kidude vha plastic wakati anacheza kwa mujibu wa maelezo yake ila analalamika maumivu ya kifua anasema kimekwamia kifuani. Naomba mwenye kujua namna ya kumsaidia mtoto aliyemeza kitu ni kwamba hakijakwama ila inaonekana kimekwamia maeneo ya kifuani kwa...
Siku za hivi karibuni kumeibuka malalamiko makubwa dhidi ya Madaktari na manesi kuhusu utendaji kazi wao kutoridhisha.
Lakini kinachonisikitisha ni serikali kufumbia vitendo vya wananchi/wagonjwa kutofuata utaratibu na kutumia lugha ya vitisho kwa wataalam wakiwatishia kuwa wasipofanya...
Jana nimemuona mama Anna Tibaijuka kwenye msiba wa diwani wa CUF aliyeuawa kikatili huko Kimwani jimbo la Muleba kusini.
Pamoja na kutokukubaliana na wewe kiitikadi lakini napongeza kitendo chako cha kuudhuria msibani na kulaani mauaji ya namna hii tofauti na wana CCM wengine
HONGERA PROFESSOR.
Wakuu nina Laptop aina ya Acer betri yake haikai na charge hata kwa lisaa limoja natafuta wapi naweza nunua bwtri mpya kwa Mwanza
Nitashukuru nikipatiwa na bei ...
Wadau naomba kwa mwenye uzoefu juu ya hizi solar zinazouzwa na kampuni ya mobisol na hizi za madukani ni zipi nzuri kwa wenye uzoefu nazo? maana ukilinganisha bei ya dukani na hizi za mobisol hawa mobisol bei zao zipo juu sana ila suala la ubora ndo sijalijua naomba ufafanuzi plz....
Tumeshuhudia wabunge wanoteuliwa na rais wakila viapo vya uwaziri na unaibu kabla ya viapo vya ubunge
swali langu ni kuwa je kwa sasa hawa mawaziri ambao ni wabunge wa kuteuliwa wanakidhi matakwa ya kisheria yanayotaka waziri kuwa mbunge?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.