Search results

  1. kaitlynne

    Tell me your favourite perfume

    1. Pleasures- Estee Lauder 2. Issey miyake 3. Dance- Givenchy 4. Jasmine Noir Bvlgari 5. Nina Ricci
  2. kaitlynne

    T-shirts za jamiiforums

    ngja nitume email huko
  3. kaitlynne

    T-shirts za jamiiforums

    mi pia nazitaka
  4. kaitlynne

    Mafuta ya taa kwenye msosi shule za bweni, ni kweli yanapunguza nyege?

    duu sikuwahi kifikiri hii kitu, hata hivyo wala haisaidii basi
  5. kaitlynne

    Face to face na X wangu

    hee, we si ndio unatafuta wa kukuzalisha mtoto utalea mwenyewe?? sasa vipi kumbe una mume!!
  6. kaitlynne

    maduka ya nguo nzuri za kisasa yapo wapi dar?

    kiuno 32. nasubiri hiyo zawadi. sipati picha sijui ni zawadi gani hii.lol
  7. kaitlynne

    maduka ya nguo nzuri za kisasa yapo wapi dar?

    Mitaa ya kanisa la RC Makuburi ni nyumbani kwake. Ni PM nikupe namba yake
  8. kaitlynne

    maduka ya nguo nzuri za kisasa yapo wapi dar?

    Pia Kikis fashion, hata kwa da mage anauza suit nzuri za mitumba kutoka UK yuko Mabibo
  9. kaitlynne

    Elections 2010 Hali halisi kabla ya kutangazwa matokeo majimbo ya Dar

    Hadi mwili unasisimuka jamani. Bravo Mnyika
  10. kaitlynne

    House for rent

    Rent ni kiasi gani maana nategemea kuja bongo October, nitakaa kwa 4 weeks.
  11. kaitlynne

    mapenzi ya mbali

    Mi ndo nawehuka very soon.
  12. kaitlynne

    Unakumbuka kufanya kituko gani during foolish age?

    uwwwiiiii mbavu zangu. sijawahi cheka hivi. watu mna vituko!!
  13. kaitlynne

    The women who choose not to be mothers

    Kama una afya njema na mwenzi na kipato sioni sababu ya kutozaa.
  14. kaitlynne

    'House girl' amnyonga mtoto, ajinyonga

    Nafikiri mtoa mada ameangalia upande mmoja tu, kuna upande mwingine ambapo unakuta hgirl anapendwa na kutunzwa kama ndugu kabisa lakini bado haishi vituko.Binafsi siwezi nyanyasa mtu ambaye anakaa na mtoto wangu , anampikia , anamlisha n.k wakati sipo,na naamini kuna kina mama wengi tu ambao...
  15. kaitlynne

    'House girl' amnyonga mtoto, ajinyonga

    Hawa mahousegirl ni kama wamevamiwa na roho gani sijui kila mzazi analalamika.Jamani haya makampuni tunayofanyia kazi waangalie jinsi gani ya kutusaidia wafanyakazi wake. Kama ni kuanzisha day care centre eneo la kazi ili tuwe na amani. Hali inatisha. Kweli ni janga la taifa.
  16. kaitlynne

    Mume wa Mtu ananitaka

    Mie sioni unbaya wa kumpa mtu namba ya simu, kwani kama sitaki uhusiano naye sinaacha kupokea tu. Kuna mazingira mengine mtu anakuomba namba ya simu kumnyima pia unaonekanaje sijui, basi nitakupa lakini sio kwamba eti nikikupa namba ya simu ndio umenipata. Wanaume wao wanafikiri ukimpa namba...
  17. kaitlynne

    Car seat

    NN mimi nafikiri sheria haiko wazi hapa Tanzania au hatuijui ila kwa usalama wa watoto wako na kwa ufahamu tulionao ni kuwa mtoto ni vizuri akae kwenye car seat iliyowekwa nyuma. watoto wachanga mpaka 8months wanatakiwa watumie rear facing car seat na wakubwa 9months na kuendelea, sina uhakika...
  18. kaitlynne

    Natafuta msichana wa kusaidia kazi za nyumbani

    Na ukimpata anakaa mwezi mmoja anaaga. Ukiwa unajidai eti kumbembeleza ndio utajuta nakwambia atakunyanyasa vibaya. sina hamu na hawa wadada. Leo nimeunganishwa na mmoja wa Kisingida nasikia alikuwa kwa mtu kakimbia nikasema ngoja nimu interview, aliponiacha hoi, eti kule nilikokuwa waliniletea...
Back
Top Bottom