Hi Doctor mimi ni kijana wa miaka 22 nina tatizo la kwikwi huanza nikiwa nakula au nikiamka asubui hukaa kwa masaa kama matano then hukata. Je hili tatizo hasababishwa na nini na dawa yake ni nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.