Unaweza kugundua kinywaji muruaaa ambacho wewe ndio ukawa founder wa kinywaji may be kikaitwa bineg yaani bia na energy au kikaitwa B&G AU BE. HUJAPIGA HELA HAPO ILA UACHE TAMAA USIUZE BEI GHALI SASAA [emoji3]
Nina TAWI makumbusho nahitaji kijana mwenye kuweza kushirikiana nami kuiendea ndoto yangu mpaka nije kumpa share kwenye kampuni ninayoiota...
Akiwa na elimu ya darasa lasaba lakini ana ugenius ndani yake namtaka sana sana
0764708888
Only you need to focus na uwe kweli crea you know what you need na lazima ujipe MDa wa kua expart kwenye hicho kitu..Sasa jitu linasema linahitaji mtaji ukiuliza ufanye Nini linaseMa biashara yyte tu umeonA biashara fulan aaaah inalipa blaa stupid
Yule hamhudumii mtu mmoja... Anauza bidhaa yake Kwa billions of people anauza furaha kutokana na kipaji chake..achana na kuwaza kua manager wa bank ...na vitu kama hvyo ...yule Hana tofaut na anachofanya davido au mond ...wanabidhaa inaitwa burudan wanawauzia watu weeeengiiiii ila team...
Ondoa kwanza wazo la kua na fedha nyingi waza unaweza kua msaada mkubwa kw watu wangapi ili wao wkupe fedha? Achana na huyo mmoja wakukupa Hela ajira ..waliofanikiwa na kua na pesa mingi walicho tuzidi nikwamba wanaletewa Hela na watu wengi
Mtaji namba Moja ni wazo lililo crea fedha ni kitu tu au nyenzo tu na nirahisi saaaaana kuipata niamini ...endelea kupambana utakuja kujua kwmba kumbe chenye thamani kubwa sio hii mikaratasi ni mawazo yakinifu yenye uwezo wa kuleta idadi yyte ya fedha
Mshahara wowote unaolipa hua ni cocaine iliyowekwa na wajanja kuua ndoto zako...kwahyo kadili unavyo tafuta kampuni ya kukulipa Hela nyingi maanayake unapambana mwenyewe kutumia hii DAWA ya KULEVYA (mshahara) kuua kipaji au ndoto ..tafuta boss mzuri
Mkitafuta kazi zingatieni ushaur huu msipambane kupata kampuni kubwa au nzuri
Pambania kupata boss mzuri kampuni kubwa itaenda kukutumia kama kitendea kazi lakin boss mzuri atakusaidia ku stemlate kipaji au ndoto yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.