Opulukwa labda amuombe mdogo wake fedha mbunge wa chadema Meatu amsaidie kufa kufaana naye si aliwabeba sana tu!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Linza hawajawahi kudondosha jengo hapa TZ, hata wakati ule bodi ya wahandisi(ERB)ilipowasimamisha ilikuwa ni majungu tu eti kwanini ana kazi nyingi na anaziendeshaje na ile issue ikaisha na mpaka leo anaendelea na kazi,nadhani mtuma habari hii ana chuki binafsi na inabidi afanye utafiti kabla ya...
Huyo mwingine Dr Najim ni tapeli tu kwanza ana kesi ya wizi wa kontena la shaba na jana katishia waandishi hapamfai hapo na huo uDR hapo kasema uongo huyo ni mganga wa kienyeji labda anataka hela zake
Ni utapeli tu wa waandaaji kula pesa zetu kwani walijua mapema toka jana kuwa cheka hatapigana leo,aliwambia waweke mkanda sio pambano la bonanza kama hilo,angekuwa kakimbia asingekuja pale kavaa suruali jinzi na tshirt tu kwa hiyo waandaji walijua hamna kitu,na Shigongo kazidi utapeli kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.