#NAKUBALIANA
niliumwa sana pia nov 2019 hadi 20 dec 2019 nilipimwa maabara magonjwa mengi tu lakini haikusaidia dr aliniandikia dawa nyingi tu,ilibidi nirudi kwa dr tena nikapimwa maabara tena na dawa zingine na uku home nanywa asali na tangawizi.nilikuaja pona kabla ya christmas...
ndivo walivo baadhi yao pole sana
shemeji yangu yalimkuta hayo tumo wote na taa ya green ilikua haijazima akapita mbele kuna kibanda traffic kama 3 ivi akasimamishwa akaambiwa tupe leseni (hii tabia ni mbovu sana) anaambiwa kwann umepita na red right? uku anakata risitia shem kajibu tu ni...
wana ushahidi gani kwamba aliwakashifu na maana yake nini kukashifiwa,mahakama kama ina haki ndo itaamua mana bila ushahidi no case,awa viumbe huwa wababe na hawafati sheria na miongozo ilivoandikwa kuna makosa ya onyo na fine na kukamatwa kufikishwa mahakaman
shemeji yangu yalimkuta hayo tumo wote na taa ya green ilikua haijazima akapita mbele kuna kibanda traffic kama 3 ivi akasimamishwa akaambiwa tupe leseni (hii tabia ni mbovu sana) anaambiwa kwann umepita na red right? uku anakata risitia shem kajibu tu ni green light siwezi kuvuka ikiwa red na...
traffic wanakera sana na naona maelezo ya maboss wao na waziri wao ni tofauti kabisa na utendaji kazi wao,hilo ni kosa la kuelezwa na wala sio tatizo ukisoma risiti zao zile utaona kuna mjumuisho na sio one bulb au one tyre deffects.tuna malalamiko nao sana ila simu za maboss wao tunazo...
tumebarikiwa vitu vingi sana yan tuna mifugo na maziwa yakutosha ivi ila ndo ivo jaman,ilibidi wafugaji wawe matajiri wakubwa kwa soko la ndani na nje ya tz
mada ya mtoa mada ilikua nzuri sana kwa wote
wasio wakristo na wakristo mana mada haikusema dhehebu, wanaoingia umu kuelewa mana wengine uwa tunafunga na kusali kwa imani zetu kwa mifungo ya dini mbalimbali ilmradi tu nasali kwa imani yangu,
ila naona wengine wamekuja na mihemko ya dharau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.