Kuna Moja tulishuka nalo Kabuku tulikaa kwenye mashine karibu madereva wanne tunamwangalia dereva kama atatoa mguu kwenye accelerator lakini wapi ndio kamwe anakandamiza Huku alarm inawaka.
Sio wami ni kibanda muheza huo mto sio mkubwa ila basi ilizama na kukotwa mpaka machakani na maji. Mpaka Leo Pana mnara wa kumbukumbu ingawaje Ile sehemu iliondikwa majina watu wamechukua lile bango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.